KOMENTI KWA LUGHA YA KWENYE DALADALA

Half american

JF-Expert Member
Sep 21, 2018
24,182
63,951
Habari za wakati huu wakuu, nielekee moja kwa moja kama kchwa cha habari kinavoelekeza, na imani miongoni mwetu n watumiaji wazuri wa daladala, komenti kwa kutaja/kutoa kauli ulizowahi kuzisikia kwenye daladala naanza na hii
"IKISIMAMA NTAKUPA"

Endelea....
 
Hadi tarehe ya leo bado mnapanda daladala ?
Habari za wakati huu wakuu, nielekee moja kwa moja kama kchwa cha habari kinavoelekeza, na imani miongoni mwetu n watumiaji wazuri wa daladala, komenti kwa kutaja/kutoa kauli ulizowahi kuzisikia kwenye daladala naanza na hii
"IKISIMAMA NTAKUPA"

Endelea....
 
"Msipande kwanza, subirini wote wanashuka, anabaki dereva pekeake."---daladala za kuelekea mbezi zikiwa zinashusha watu stendi ya mawasiliano.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom