Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 24,182
- 63,951
Habari za wakati huu wakuu, nielekee moja kwa moja kama kchwa cha habari kinavoelekeza, na imani miongoni mwetu n watumiaji wazuri wa daladala, komenti kwa kutaja/kutoa kauli ulizowahi kuzisikia kwenye daladala naanza na hii
"IKISIMAMA NTAKUPA"
Endelea....
"IKISIMAMA NTAKUPA"
Endelea....