mlimilwa
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,078
- 3,141
Ungemjua ayatora ,wala usingesema hivyo.Kitu wasichokijua wengi ni kwamba kunachoendelea kati ya Iran na Marekani ni Drama tu... Marekani ndiye aliyeiweka madarakani hiyo serikali ya kiislam ya Iran na ndiye atakayeiondoa muda ukifika.