Kombe Limeenda Simba, Fedha Zimeenda Yanga?

Amavubi

JF-Expert Member
Dec 9, 2010
30,141
13,215
IMG_4453.JPG
 
Kombe....!.

kumchapa Yanga ni zaidi ya vyote, nakumbuka kuna wakati Manji alitoa milioni hamsini (50m) kwa ajili ya Kamati ya Ufundi ILIHALI ZAWADI YA UBINGWA NI m 40 za VODACOM
 
Yanga wajanja sana, yaani baada ya kujua tunapata ela yakutosha wakaona hamna haja ya Jasho jingi.
 
Mlienda uwanjani mikono nyuma,maomba hata draw sasa mmeuona mwezi hatusemi!...

Haya sisi tunawasubiri kwenye ligi tu,kawekeni kikombe kabatini,sisi tupo hapa Makumbusho Simba Kapakatwa Pub

tunapiga moja baridi moja moto kwa raha zetu na mihela mfukoni.

Yanga wengi ni walevi ndio maana wanazimia ovyo uwanjani
 
ImageUploadedByJamiiForums1387689696.114965.jpg

Simba imeonyesha ilivyo na mapenzi na "mtoto" Yanga. Kampa "bao " tatu safi na amesuuzika roho yake.
 
Mlienda uwanjani mikono nyuma,maomba hata draw sasa mmeuona mwezi hatusemi!...

Haya sisi tunawasubiri kwenye ligi tu,kawekeni kikombe kabatini,sisi tupo hapa Makumbusho Simba Kapakatwa Pub

tunapiga moja baridi moja moto kwa raha zetu na mihela mfukoni.

Hapo umesema neno..
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom