Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,197
TANZANIA imepangwa kundi ambalo si la kutisha sana, Algeria, Morocco na Central Africa.
Naona kama tayari itaendelea kuwa ndoto tu kushiriki kwenye mechi hizo. Makundi yamepangwa na bado hatuna 11 wa kwanza, na hatujia who is the next coach.
Naona kama tayari itaendelea kuwa ndoto tu kushiriki kwenye mechi hizo. Makundi yamepangwa na bado hatuna 11 wa kwanza, na hatujia who is the next coach.