magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 7,275
- 12,671
Mkuu Waarabu wala hawana shobo na haya mashindano kuna mwaka Moroco alikataa uwenyeji kisa mlipuko wa Ebola aliona atapelekewa ugonjwa nchini kwake.Viwanja viwili vya kimataifa vinafaa kuhost kombe la Afrika