magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 7,412
- 13,137
Mkuu Waarabu wala hawana shobo na haya mashindano kuna mwaka Moroco alikataa uwenyeji kisa mlipuko wa Ebola aliona atapelekewa ugonjwa nchini kwake.Viwanja viwili vya kimataifa vinafaa kuhost kombe la Afrika