Kombati aliyovaa Sugu mahakamani kwenye hukumu ya Mdude imetengenezwa na Sean John. Je, P Didy anaijua Chadema?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,296
217,300
Haya mambo wakati mwingine yanashangaza sana !

ngoja tuilete kwenu muithaminishe

FB_IMG_1623671766178.jpg
BAVICHA_&_CHASO_on_Instagram:_“✌️✌️✌️”%22_.jpg
 
Mleta uzi ndo tushampoteza kila akiamka anaiona cdm kama maji ya uzima. Fuatilieni tu kila nusu saa kaleta mambo hayohayo ambayo kwa hali ya kawaida mwingine huwezi kupoteza brain kuanza kufananisha. Ila Cdm hawanaga huruma wangemuwahisha hospital fasta. Tumuombee tu sasa
 
Mleta uzi ndo tushampoteza kila akiamka anaiona cdm kama maji ya uzima. Fuatilieni tu kila nusu saa kaleta mambo hayohayo ambayo kwa hali ya kawaida mwingine huwezi kupoteza brain kuanza kufananisha. Ila Cdm hawanaga huruma wangemuwahisha hospital fasta. Tumuombee tu sasa

Wewe mbona unateseka hivyo... Ungekuwa moderator ungekuwa na roho nyeusi Kama mchawi...
 
Back
Top Bottom