Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,296
- 217,300
Haya mambo wakati mwingine yanashangaza sana !
ngoja tuilete kwenu muithaminishe
ngoja tuilete kwenu muithaminishe
Hana uwezo wa kuelewa jibu hilo.Kama picha inaonesha bado kuna mtu amevaa halafu unauliza nani bado anavaa mbona unashangaza sasa
🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶
Mleta uzi ndo tushampoteza kila akiamka anaiona cdm kama maji ya uzima. Fuatilieni tu kila nusu saa kaleta mambo hayohayo ambayo kwa hali ya kawaida mwingine huwezi kupoteza brain kuanza kufananisha. Ila Cdm hawanaga huruma wangemuwahisha hospital fasta. Tumuombee tu sasa
😆😆😆Wewe mbona unateseka hivyo... Ungekuwa moderator ungekuwa na roho nyeusi Kama mchawi...
Karibu sana mkuuKweli mmeishiwa agenda.
Hili nalo ni la kuanzishia uzi kweli!
Chadema tayali mshapotea kwenye mstari.