dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Akiangalia Star Tv wanaonekana Olesendeka na Komba wanagonga story nyuma ya mchanguaji Nimrodi Mkono wakatonywa wakajikausha thn wageuka na kupiga makofi kwa kitu wasichokuwa na uhakika nacho. Komba ndo kageuka kabisaaa anamwangalia Olesendeka badala ya kuangalia kiti cha spika.
Concern
Hivi bungeni ni kwa kupiga soga na umbea?
Makofi ya nini?
Concern
Hivi bungeni ni kwa kupiga soga na umbea?
Makofi ya nini?