Mukalunyoisa
Senior Member
- Mar 16, 2012
- 139
- 25
chitemo nakushauri nawe andaa maanadamano ya kumkataa mbunge wako komba, waamboe wanachi wa vijji vyako mbunge wenu kazi mliyomtuma ni kusinzia
Dawa yake inaitwa PIRITON........akisikia CHADEMA wanaongea halali..........wakiongea magamba wenziye analala
Sio wote mjomba tulimpigia kura huyu Komba bali hapakuwa na mgombea wa upinzani kuweza kusimama dhidi ya hili jitu. There4 wananchi wa Mbinga magharibi hatukumtuma atukane balimawe sauti yetu kusemea kero zinazotukabiri. Jimbo limelala sana kuanzia vijiji Lituhi, mbaha, lundu, hinga, ngumbo, mkili, liwundi, njambe, tumbi, liuli, lundo, mbambabay, etc watu wana ari ya kuona jimbo lao likipiga hatua ya kimaendeleo.