Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Mh kapteni Komba ameshauri wabunge wote wanaoipondea CCM badala ya kuijadili bajeti wakapimwe akili mirembe then ndo waruhusiwe kuingia bungeni.Pia ametoa tahadhari kwa wabunge wa upinzani wanaotamani milango ifungwe ili ngumi zitembee kwamba wasiombee hilo kutokea kwani watachakazwa vibaya sana kwasababu wabunge wa C.C.M ni wengi zaidi.