Mmoja wa wanasheria wa chadema kulingana na habari nimewahi isoma humu
Mimi namkumbuka komando halisi TAMIM!! Wangapi mnamkumbuka huyu na alifanya nini? Hint: Unamkumbuka uncle Tom? Haya vijana somo la historia ya nchi yenu, waulizeni wazee wenu waliohai!!
Uncle Tom alipigwa risasi na kuuawa siku moja kabla ya siku ambayo yangefanyika mapinduzi ya serikali ya Tanganyika.
Baada ya maiti yake kupekuliwa alikutwa na karatasi yenye majina ya viongozi mbalimbali wa jeshi pamoja na mawasiliano yao jambo ambalo liliwatia mashaka wana Usalama maana uncle Tom alikuwa most wanted na ilikuwa ishatolewa amri ya kukamatwa au kuuawa pale atakapoonekana ndani ya Tanganyika.
Ndipo ukaanza msako wa kukamata kila aliyeonekana kwenye ile karatasi na mpango mzima wa mapinduzi kuwa wazi....
mkuu ni nani huyo? Muweke wazi basi.
Huyo Commando TAMIM Kwa Shughuli Yake Ilivyokuwa Pevu Na Alivyo Mahiri Ktk Fani Hiyo Hadi Alipewa Heshima Na Serikali Ya Msumbiji Kujenga Nyumba Yake Jirani Kabisa Na IKULU Ya Nchi Ya Msumbiji Na Kwa Faida Yenu Tu Hadi Sasa Makazi Ya Familia Yake Bado Yapo Nchini Msumbiji Pembezoni Kabisa Na Ikulu Yao. Msumbiji Walimpenda Sana Kwa Kuwa Yeye Ndiye Aliyewafanyia UMAFIA Na Kuwapa Shughuli Pevu Wanajeshi Wa Kikaburu Hadi Wakachapa Lapa Na Kama Haitoshi Huyu Huyu TAMIM Ndiyo Aliyekuwa Rais Wa Cuba Comrade Wa Hayati Nyerere Fidel Armando Castro Alimwomba Kifimbo Ampe TAMIM Na Yeye ( Yaani Wa Cuba ) Watupe Makomandoo Wao Watatu. Sasa Jiulize Huyu Jamaa Alikuwa Ni Extraordinary Kiasi Gani Hadi Wa Cuba Wakamtaka?
Unamzungumzia Kanali Mahfoudh au?
Teh teh teh lazima sasa hivi atakuwa jambazi sugu duh Jina hilo la kirombo limeniacha hoi et Komandoo Tarimo, hahahaha atatokea mwingine atajiita komandoo Mushi hahahaa mara komandoo njau eehehehe
View attachment 244976
kuna komandoo mwingine zaidi ya huyu.
komando wa mitindo ya mavazi
Huyo Commando TAMIM Kwa Shughuli Yake Ilivyokuwa Pevu Na Alivyo Mahiri Ktk Fani Hiyo Hadi Alipewa Heshima Na Serikali Ya Msumbiji Kujenga Nyumba Yake Jirani Kabisa Na IKULU Ya Nchi Ya Msumbiji Na Kwa Faida Yenu Tu Hadi Sasa Makazi Ya Familia Yake Bado Yapo Nchini Msumbiji Pembezoni Kabisa Na Ikulu Yao. Msumbiji Walimpenda Sana Kwa Kuwa Yeye Ndiye Aliyewafanyia UMAFIA Na Kuwapa Shughuli Pevu Wanajeshi Wa Kikaburu Hadi Wakachapa Lapa Na Kama Haitoshi Huyu Huyu TAMIM Ndiyo Aliyekuwa Rais Wa Cuba Comrade Wa Hayati Nyerere Fidel Armando Castro Alimwomba Kifimbo Ampe TAMIM Na Yeye ( Yaani Wa Cuba ) Watupe Makomandoo Wao Watatu. Sasa Jiulize Huyu Jamaa Alikuwa Ni Extraordinary Kiasi Gani Hadi Wa Cuba Wakamtaka?
Uliza familia yake, tafuta picha yake uweke pamoja navitu aliofanyia taifa si kuleta porojo.
Hakuna komandoo dunia hii anaitwa Tarimo...kina Tarimo wafanya biashara Arusha na Mwanza. Ukomandoo wapi na wapi?
Wadau niko njiandaa kuandika historia ya komandoo wa kitanzania aliye kuwa akitwa Tarimo, kijana huyu alipata mafunzo yake kule Cuba, na baadae kurejea nyumbani Tanzania.
Je kuna mtu awaye yeyote mwenye ufahamu wa ili Jambo? naomba michango yenu zaidi.
Huyo Commando TAMIM Kwa Shughuli Yake Ilivyokuwa Pevu Na Alivyo Mahiri Ktk Fani Hiyo Hadi Alipewa Heshima Na Serikali Ya Msumbiji Kujenga Nyumba Yake Jirani Kabisa Na IKULU Ya Nchi Ya Msumbiji Na Kwa Faida Yenu Tu Hadi Sasa Makazi Ya Familia Yake Bado Yapo Nchini Msumbiji Pembezoni Kabisa Na Ikulu Yao. Msumbiji Walimpenda Sana Kwa Kuwa Yeye Ndiye Aliyewafanyia UMAFIA Na Kuwapa Shughuli Pevu Wanajeshi Wa Kikaburu Hadi Wakachapa Lapa Na Kama Haitoshi Huyu Huyu TAMIM Ndiyo Aliyekuwa Rais Wa Cuba Comrade Wa Hayati Nyerere Fidel Armando Castro Alimwomba Kifimbo Ampe TAMIM Na Yeye ( Yaani Wa Cuba ) Watupe Makomandoo Wao Watatu. Sasa Jiulize Huyu Jamaa Alikuwa Ni Extraordinary Kiasi Gani Hadi Wa Cuba Wakamtaka?
Huyo Commando TAMIM Kwa Shughuli Yake Ilivyokuwa Pevu Na Alivyo Mahiri Ktk Fani Hiyo Hadi Alipewa Heshima Na Serikali Ya Msumbiji Kujenga Nyumba Yake Jirani Kabisa Na IKULU Ya Nchi Ya Msumbiji Na Kwa Faida Yenu Tu Hadi Sasa Makazi Ya Familia Yake Bado Yapo Nchini Msumbiji Pembezoni Kabisa Na Ikulu Yao. Msumbiji Walimpenda Sana Kwa Kuwa Yeye Ndiye Aliyewafanyia UMAFIA Na Kuwapa Shughuli Pevu Wanajeshi Wa Kikaburu Hadi Wakachapa Lapa Na Kama Haitoshi Huyu Huyu TAMIM Ndiyo Aliyekuwa Rais Wa Cuba Comrade Wa Hayati Nyerere Fidel Armando Castro Alimwomba Kifimbo Ampe TAMIM Na Yeye ( Yaani Wa Cuba ) Watupe Makomandoo Wao Watatu. Sasa Jiulize Huyu Jamaa Alikuwa Ni Extraordinary Kiasi Gani Hadi Wa Cuba Wakamtaka?