kussy
JF-Expert Member
- Jun 15, 2010
- 400
- 121
Mimi namkumbuka komando halisi TAMIM!! Wangapi mnamkumbuka huyu na alifanya nini? Hint: Unamkumbuka uncle Tom? Haya vijana somo la historia ya nchi yenu, waulizeni wazee wenu waliohai!!
Yap! Hao ndo walikuwa makomandoo