CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 6,935
- 22,919
- Thread starter
- #41
Jibu ni 1 mkuu..Komaa na kinachotoka zaidi ofisini kwakoAhsante SNA kKa hata Mimi nimepata somo nzuri sana,Mimi nina biashara ya steshenary lakini changamoto yake no mzunguko mdgo,japo kuna taasisi za serikali ya mtaa, shule Ila napata wateja wengi was kopi za vitambulisho na barua za serikali ya mtaa na picha. Naomba ujuzi zaidi ndugu yangu.
Piga Picha nzuri,ongeza matangazo kuhusu copy na passport Brand ofisi yako upya ijulikane Kuwa Copy na passport hapo ndio nyumbani kwake..
Si kwamba hutofanya vitu vingine,hapana ila nachosema ni kwamba Ongeza matangazo ongeza vitu vyakufanya akiwaza kutoa copy aje kwako akiwaza passport aje kwako.
Wapga passport ni wengi ila wanaopga PASSPORT nzuri na kwa ubora "wanahesabika"
Mfano mzuri ni mimi... Nina passport zangu hizo nazielewa kinoma nilipga sehemh hao majamaa walijua nitengenezea passport nzuri,yani nilisafisha passport kibaooo niko nazo tu ndani...
na nikifikiria kupga tena passport ntaenda kule maana najua wanajua... nilishapga passport sehemu kibao ila kilaninapopgwa wanananitoa nasura kama Napuliza moto...
hivyo na wewe mkuu Komaaa tangaza kinachotoka zaidi...