zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 10,831
- 8,621
Ndugu wana JF, naamini wanafunzi 60,000 waliochakachuliwa kwa makusudi na mafedhuli ni mtaji tosha kwa ukombozi wa nchi yetu, bilashaka ni mipango ya Mwenyezi Mungu kuwafunga wenye mamlaka ufahamu wao ili wanafunzi hawa wawe chachu ya mabadiliko.
kwa hesabu za harakaharaka wanafunzi 60,000 watakuwa wamesambaa karibia kila kata ya wanawainchi hii. katika hao tutoe 10,000 au 20,000 ambao either kwa kutokuwa na ufaham wa kutosha au kwa kufaidika na mfumo wa kifisadi watakuwa na kasumba ya ki'ccm. waliobaki 40,000 au 50,000 wakiwa na hasira ya kuchakachuliwa kutokupiga kura wanaweza wakawashawishi watu zaidi ya 50 kuipigia kura CHADEMA. kama hiyo ikitokea, hao 50 walioshawishiwa kuipigia kura CHADEMA nao watawashawishi wenzao kuingia kwenye hilo kundi la ukombozi, hao nao watawashawishi wengine na wengine na wengine..................
:- 50,000 x 50 x 50 x 50 x ....................................hadi apo ukombozi haujapatikana?
kwa mazingira ya sasa naamini kila mwnfnz hakosi kilongalonga (simu). kilichobaki ni ku'design msg ya kuwakumbusha wajibu wao huko walipo na watambue kuwa kura moja waliokosa inaweza kuzaa kura 1000 au zaidi.
au mnaonaje wenzangu?
kwa hesabu za harakaharaka wanafunzi 60,000 watakuwa wamesambaa karibia kila kata ya wanawainchi hii. katika hao tutoe 10,000 au 20,000 ambao either kwa kutokuwa na ufaham wa kutosha au kwa kufaidika na mfumo wa kifisadi watakuwa na kasumba ya ki'ccm. waliobaki 40,000 au 50,000 wakiwa na hasira ya kuchakachuliwa kutokupiga kura wanaweza wakawashawishi watu zaidi ya 50 kuipigia kura CHADEMA. kama hiyo ikitokea, hao 50 walioshawishiwa kuipigia kura CHADEMA nao watawashawishi wenzao kuingia kwenye hilo kundi la ukombozi, hao nao watawashawishi wengine na wengine na wengine..................
:- 50,000 x 50 x 50 x 50 x ....................................hadi apo ukombozi haujapatikana?
kwa mazingira ya sasa naamini kila mwnfnz hakosi kilongalonga (simu). kilichobaki ni ku'design msg ya kuwakumbusha wajibu wao huko walipo na watambue kuwa kura moja waliokosa inaweza kuzaa kura 1000 au zaidi.
au mnaonaje wenzangu?