Pointless mkuu, unazungumzia Mzee south wakati aliharibu uchaguz wa Kenya? Awali aliishukuru tume huru ya uchaguz ya nchin wakati uchaguzi huo ulitawaliwa na vibwanga vya kutosha! Kwann unataka kutuona sisi mazezeta? Hujaona watu wengine wa kuwaomba kuja kusimamia na kusuluhisha hii migongano inayotokea nchini?..hali inazidi kuwa mbaya kadri siku zinavyokwenda.
..DAMU imeshamwagika.
..watu wamepata VILEMA.
..wazee wa hapa nchini, pamoja na viongozi wa dini, wameshindwa kutuliza joto la kisiasa.
..Umefika wakati wa kutafuta watu wazito wenye busara toka nje ya nchi kuja kusuluhisha.
..Ni vizuri tukatafuta usuluhishi mapema kabla mambo hayajaharibika kabisa au wakati tumesambaratika.
..Nadhani Mzee Koffi Annan, Jaji Luis Moreno Ocampo, na Mzee Thabo Mbeki, wanaweza kutusaidia ktk hili.
Wazo lako MKUU ni zuri, lakini sizonje alisema haelekezwi, hakosolewi wala hajaribiwi. Sasa hao washauri nani atawaleta? Pia shambulizi la Lissu ilitakiwa wachunguzi wa kimataifa, serikali ilikataa sembuse hilo la usuluhishi wa vyama vya siasa?..hali inazidi kuwa mbaya kadri siku zinavyokwenda.
..DAMU imeshamwagika.
..watu wamepata VILEMA.
..wazee wa hapa nchini, pamoja na viongozi wa dini, wameshindwa kutuliza joto la kisiasa.
..Umefika wakati wa kutafuta watu wazito wenye busara toka nje ya nchi kuja kusuluhisha.
..Ni vizuri tukatafuta usuluhishi mapema kabla mambo hayajaharibika kabisa au wakati tumesambaratika.
..Nadhani Mzee Koffi Annan, Jaji Luis Moreno Ocampo, na Mzee Thabo Mbeki, wanaweza kutusaidia ktk hili.
Alisema katiba siyo kipaumbele chakeWakamuelimishe sozinje jinsi ya kuongoza nchi yenye katiba inayotambua vyama vingi vya siasa.
..hali inazidi kuwa mbaya kadri siku zinavyokwenda.
..DAMU imeshamwagika.
..watu wamepata VILEMA.
..wazee wa hapa nchini, pamoja na viongozi wa dini, wameshindwa kutuliza joto la kisiasa.
..Umefika wakati wa kutafuta watu wazito wenye busara toka nje ya nchi kuja kusuluhisha.
..Ni vizuri tukatafuta usuluhishi mapema kabla mambo hayajaharibika kabisa au wakati tumesambaratika.
..Nadhani Mzee Koffi Annan, Jaji Luis Moreno Ocampo, na Mzee Thabo Mbeki, wanaweza kutusaidia ktk hili.
...wasuluhishe nini sasa !? Daah...makarai mbona stress zenu zinawapeleka sana !?..basi aongezwe Mama Graca Machel Mandela anazungumza Kiswahili ili kuwasaidia wasuluhishi wanaozungumza " ki-inglish."
.....au Kiize Besigye !..nadhani UCHAGUZI wa 2020 usimamiwe na UMOJA WA MATAIFA, pamoja na JUMUIYA YA MADOLA.
Unafikiri atakubali?..nadhani UCHAGUZI wa 2020 usimamiwe na UMOJA WA MATAIFA, pamoja na JUMUIYA YA MADOLA.
Yaani huyu Rais namchukia kuliko kitu chochote hapa dunianiSikuwahi kutarajia kama Tanzania siku moja inaweza kuwa na Rais katili na wa ovyo kwa kiwango hiki.
Upuuzi mtupu, waache kusuluhisha ya KENYA waje hapa ambapo mikwaruzano iliyopo ni ya kawaida kwa nchi zote zenye vyama vingi??..hali inazidi kuwa mbaya kadri siku zinavyokwenda.
..DAMU imeshamwagika.
..watu wamepata VILEMA.
..wazee wa hapa nchini, pamoja na viongozi wa dini, wameshindwa kutuliza joto la kisiasa.
..Umefika wakati wa kutafuta watu wazito wenye busara toka nje ya nchi kuja kusuluhisha.
..Ni vizuri tukatafuta usuluhishi mapema kabla mambo hayajaharibika kabisa au wakati tumesambaratika.
..Nadhani Mzee Koffi Annan, Jaji Luis Moreno Ocampo, na Mzee Thabo Mbeki, wanaweza kutusaidia ktk hili.
.....aliye ondoka mlimnadi ni dhaifu, kakalia kucheka tuu. Nyie mtakuwa m'mechanganya dozi sasa side effects zinawapelekesha.Sikuwahi kutarajia kama Tanzania siku moja inaweza kuwa na Rais katili na wa ovyo kwa kiwango hiki.
Kumbe wewe huwajui wasukuma? Amri ikitolewa iwe nzuri au mbaya inatekelezwa tu. Kama ulimchagua sasa unavuna ulichopanda, kumbuka pombe siyo chai.Sikuwahi kutarajia kama Tanzania siku moja inaweza kuwa na Rais katili na wa ovyo kwa kiwango hiki.
Mungu wa Ibrahim . Isaka ,Yakobo tuokoe waja wako tunaangamizwa...hali inazidi kuwa mbaya kadri siku zinavyokwenda.
..DAMU imeshamwagika.
..watu wamepata VILEMA.
..wazee wa hapa nchini, pamoja na viongozi wa dini, wameshindwa kutuliza joto la kisiasa.
..Umefika wakati wa kutafuta watu wazito wenye busara toka nje ya nchi kuja kusuluhisha.
..Ni vizuri tukatafuta usuluhishi mapema kabla mambo hayajaharibika kabisa au wakati tumesambaratika.
..Nadhani Mzee Koffi Annan, Jaji Luis Moreno Ocampo, na Mzee Thabo Mbeki, wanaweza kutusaidia ktk hili.
Kumbe wewe huwajui wasukuma? Amri ikitolewa iwe nzuri au mbaya inatekelezwa tu. Kama ulimchagua sasa unavuna ulichopanda, kumbuka pombe siyo chai.Sikuwahi kutarajia kama Tanzania siku moja inaweza kuwa na Rais katili na wa ovyo kwa kiwango hiki.
Hakuna joto Lolote. TabzaTan iko tulivu kabisa..hali inazidi kuwa mbaya kadri siku zinavyokwenda.
..DAMU imeshamwagika.
..watu wamepata VILEMA.
..wazee wa hapa nchini, pamoja na viongozi wa dini, wameshindwa kutuliza joto la kisiasa.
..Umefika wakati wa kutafuta watu wazito wenye busara toka nje ya nchi kuja kusuluhisha.
..Ni vizuri tukatafuta usuluhishi mapema kabla mambo hayajaharibika kabisa au wakati tumesambaratika.
..Nadhani Mzee Koffi Annan, Jaji Luis Moreno Ocampo, na Mzee Thabo Mbeki, wanaweza kutusaidia ktk hili.
kabsa yani mkuuAbsolutely rubish
Tatizo woga kwani vita ikitokea wewe si utakuwa mhanga, sema bwanaWee sema rubbish tu..
Siku watakapokugeuka hawa makatili CCM na kujikuta upo hospitali wakihangaika kuitoa risasi uliyopigwa imenasa mkunduni sijui utamlilia nani sijui.