JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,017
Hali inazidi kuwa mbaya kadri siku zinavyokwenda.
DAMU imeshamwagika.
Watu wamepata VILEMA.
Wazee wa hapa nchini, pamoja na viongozi wa dini, wameshindwa kutuliza joto la kisiasa.
Umefika wakati wa kutafuta watu wazito wenye busara toka nje ya nchi kuja kusuluhisha.
Ni vizuri tukatafuta usuluhishi mapema kabla mambo hayajaharibika kabisa au wakati tumesambaratika.
Nadhani Mzee Koffi Annan, Jaji Luis Moreno Ocampo, na Mzee Thabo Mbeki, wanaweza kutusaidia ktk hili.
DAMU imeshamwagika.
Watu wamepata VILEMA.
Wazee wa hapa nchini, pamoja na viongozi wa dini, wameshindwa kutuliza joto la kisiasa.
Umefika wakati wa kutafuta watu wazito wenye busara toka nje ya nchi kuja kusuluhisha.
Ni vizuri tukatafuta usuluhishi mapema kabla mambo hayajaharibika kabisa au wakati tumesambaratika.
Nadhani Mzee Koffi Annan, Jaji Luis Moreno Ocampo, na Mzee Thabo Mbeki, wanaweza kutusaidia ktk hili.