Rangi za bendera ya taifa na chadema ndo zimetumika kupamba
Hata mimi naanza kuamini hivyomm nilichogundua kuwa Kofi annan na Shangrai wamekuja tanzania kwa kuja kupata vikombe tu, hayo mengine ni kuzuga tu
aaaaaayh.... kweeeeeeliii....!!!mm nilichogundua kuwa Kofi annan na Shangrai wamekuja tanzania kwa kuja kupata vikombe tu, hayo mengine ni kuzuga tu
Mi nimegundua wiring ilivyofanyika kizembe, tubelight inayokosekana hapo mbele ya jengo. Yes this is my loved BONGOLAND.
Mkuu unataka kusema ndiyo maana na Koffi Annan alivaa makombati kama makamanda wa CDM?