PROFESA KYANDO
Member
- Jul 24, 2012
- 81
- 6
Mjumbe na msuluhish wa mgogoro wa syria amejiuzulu, kofi anan.. Ambaye ni wa muhim kwa kuzingatia mafanikio yake ya usuluhish wa migogoro duniani hasa ya kisiasa.. Hapo jana alijiuzulu sjui united nation watachukua hatua gan kuokoa upes syria na kuleta aman, source radio douch wele @dw,