Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,738
JBL atakaa kama kiporo mpk nijiseti uzuri. Ngoja niicheki Kodtec.JBL hamna za bei za kizalendo😅 ni 1.3M straight away.
Tafta hio Kodtec hutajuta mkuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JBL atakaa kama kiporo mpk nijiseti uzuri. Ngoja niicheki Kodtec.JBL hamna za bei za kizalendo😅 ni 1.3M straight away.
Tafta hio Kodtec hutajuta mkuu!
Mwamba korokwincho anainjoy mikito ya maana tu alifata ushauri sahizi anatoroka job kuwahi mzigo home unatandika sio mchezo!JBL atakaa kama kiporo mpk nijiseti uzuri. Ngoja niicheki Kodtec.
Sony ni jamaa zangu ila kwa Kodtec hawafikii ule umeme mzee! Frequency za bass production za Sony ziko juu kuliko za Kodtec mzee!Achana na huo ujinga tafuta music system ya uhakika.....SONY probably
Bado nawaza ipi itafaa kati ya hiyo 2812 au kubwa yake.Mwamba korokwincho anainjoy mikito ya maana tu alifata ushauri sahizi anatoroka job kuwahi mzigo home unatandika sio mchezo!
Hakika nasema kwa hii sound ya kodtech NIMEWADHULUMU PA KUBWA SANAAAAJBL hamna za bei za kizalendo ni 1.3M straight away.
Tafta hio Kodtec hutajuta mkuu!
Yaani halafu lenyewe halitaki sauti ndogo linataka ulifungue hasaaaaa mamaeeeeeMwamba korokwincho anainjoy mikito ya maana tu alifata ushauri sahizi anatoroka job kuwahi mzigo home unatandika sio mchezo!
Hahahahah hio bass yake inatikisa utumbo kabisa.Yaani halafu lenyewe halitaki sauti ndogo linataka ulifungue hasaaaaa mamaeeeee
Kama una tumbo la kuhara kaa nalo MBALI utaharibu mazingira mapema kabisa
Hyo 2812 ni watts 200Bado nawaza ipi itafaa kati ya hiyo 2812 au kubwa yake.
Hyu mchina itakuwa ni mchepuko wa akina jbl ama denonHahahahah hio bass yake inatikisa utumbo kabisa.
Mi sikuhio nilipita kwa nje ya duka tu ila ile bass iliokuwa inamwagika ilikuwa sio masihara ikabidi niingie nikatafte kinachotoa huo mziki ni kitu gani maana huwa sikio langu lipo sensitive sana na vinu vya maana.
Halafu ogopa sehemu yenyewe ilikuwa ni kubwa yani kama hall hivi maana hilo duka lilikuwa ni showroom ya furnitures. Mziki ulikuwa umeenea kichizi
Hamna ngoma mbaya kwenye mziki wa ukweli😅 na sikuhio manyimbo hayo hayo ya laizer ndo walikuwa wanayapiga😅 ila bass inavyochambuka ilinivutaHyo 2812 ni watts 200
Niliyonayo ni 2913 ni watts 300
Yaani hapa mingoma iliyokuwa mibaya kwangu sasa hvi naipenda kupitia kodtech
Mibiti ya iyo laizer inasound vizuri kumbe
Kodtec 2913 ina true music dynamics, bass yake ni exceptional na clarity yake basi ni full balaa😅 inagongea bass kifuani!Kwani HiVi Kati ya hio rising rs-7600 na kodtec kt 2913,
Je ipi ni Bora Kwa mziki mzito yaan deep bass?
Binafsi sijaiskia hyo risingKwani HiVi Kati ya hio rising rs-7600 na kodtec kt 2913,
Je ipi ni Bora Kwa mziki mzito yaan deep bass?
Kituo kinachofuata mamaeeeeHalafu mtu akisikia hio bei anaweza akaleta dharau ujue!
2913 vs 2812 ipi inagonga zaidi mkuu?Kodtec 2913 ina true music dynamics, bass yake ni exceptional na clarity yake basi ni full balaa inagongea bass kifuani!