Kodtec Speaker systems

Kwa wale Music enthusiasts wenzangu last Weekend katika kuzurura katika viunga vya M.City i came across duka la Kodtec. Hawa jamaa wanauza appliances zao mbali mbali pale zikiwemo Subwoofers.

Kishindo cha mziki wenye vipimo madhubuti ambacho sikukitegemea kilipenya katika ngoma zangu za masikio na Ilibidi nizame chap kuuliza jamaa wanioneshe hicho kitu kinachotoa huo mziki. Cha ajabu ilikuwa ni subwoofer box moja hivi with sleek design.

Ukaguzi uliendelea na kuona ni subwofeer box yenye bass speakers 3! 2 Deep bass 12" Speakers kushoto na kulia wakati mbele kuna 10" Mid bass (woofer)! Hii subwoofer iko accompanied na Speaker ndogo za kupiga mid and high frequencies ambazo zinafanikisha hii Kodtec iwe super clear sound system.

Tukija kwenye wattage hii system ni 300Watts RMS value! Utaona kwamba Peak Music Power Output ni obvious itakuwa around 1200w! The bass effects that come out of this subwoofer ni exceptional you hear both boomy and dynamic bass effortlessly sijui wametumia amplifier aina gani humu ila mziki una sound kama mziki wa gari kabisa 😁😁😁!

Kimsingi nilikuwa naona subwoofer za 2.1 Channel ni utopolo ila sio kwa Subwoofer za Kodtec wazee, naomba niombe radhi kwa wamiliki wote wa Speaker Systems za Kodtec!

View attachment 1698253
Hata yenyewe ni 2.1. Speaker configuration haihusiani na ubora wa sauti. Brand yoyote inaweza kuwa na configurarion ya 2.1 la muhimu ni kusupporr surround sound. Hizo unazokandia tatizo ni kuwa hazina support ya SS. Ni stereo system zenye subwoofer.
 
Kuna kitu nataka nikijue
Mfano Subwoofer la seapiano

Zile speaker mbili ndogo wameandika 24watts each

Yaani left 24w
Na right 24w

Na ile woofer yenyewe wameandika 30w

Je ili kujua output power ya hii machine at the Max unajuaje?
@Extrovent
@Chief_Mkwawa


Maana wanavosema mziki una 1000w huwa sielewi kbsa na unakuta details zinakua tofauti kbsa.
 
Hamna mkuu ina range kwenye 300-400K! Kulingana na wapi utainunua.

The best time ya kununua hii Speaker ni sasa sababu ndio ingizo jipya na kwa jinsi ilivyo nzuri itakuwa hit sokoni kisha wataanza kuleta fakes. Kama mtu una hela na ni mpenzi wa mziki bomba ichukue hii kitu bei yake na quality its fair.
Kodtec hawajaanza leo soko Tanzania.Walisha kuwa hadi na simu zenye nembo hiyo hiyo kodtec way back 2013 ,but sababu kampuni imesajiliwa China sio rahis sana mchina kupiga copy ya mchina mwenzake(mwamba mmbongo kaoa mchina) au kwa kampuni iliyosajiliwa China.Ingawa wanaweza ila ni nadra sana.
 
Kodtec hawajaanza leo soko Tanzania.Walisha kuwa hadi na simu zenye nembo hiyo hiyo kodtec way back 2013 ,but sababu kampuni imesajiliwa China sio rahis sana mchina kupiga copy ya mchina mwenzake(mwamba mmbongo kaoa mchina) au kwa kampuni iliyosajiliwa China.Ingawa wanaweza ila ni nadra sana.
Kwamba huyo japhet konzo wa kodtec ni mtoto wa mzee konzo mkinga wa pale njombe mwenye duka la electronic
 
Wengi wakimbilia soundbars siku hizi
Sound bars nyingi za kindezi yani alieiwezea ni JBL tu tena ile ya 5.1 Deep Bass...

Sony kafeli na wengine wengine bass response jau! 20Hz ndio frequency ambayo unaipata ile deep clean bass ambayo ni thrilling!

Zaidi ya hapo bass ya kuanzia 45Hz inakuwa muffled flani ama boomy inachanganyika na mid frequencies. Ndio ma subwoofer mengi yana LPF za kuanzia humo na zaidi.
 
Sound bars nyingi za kindezi yani alieiwezea ni JBL tu tena ile ya 5.1 Deep Bass...

Sony kafeli na wengine wengine bass response jau! 20Hz ndio frequency ambayo unaipata ile deep clean bass ambayo ni thrilling!

Zaidi ya hapo bass ya kuanzia 45Hz inakuwa muffled flani ama boomy inachanganyika na mid frequencies. Ndio ma subwoofer mengi yana LPF za kuanzia humo na zaidi.
Hili ni kweli.
So kwa mtu anayetafuta sound nzuri ya bei ya kizalendo kwa ghetto lake unamshaurije?
 
Back
Top Bottom