Kinachotokea hivi sasa, kwa,Bernard membe kwake ni Kicheko hadi kwenye Gego.Hata Kama ni Membe ndiye aliyepigwa mkuki wa moyo,.Pia kwenye Waraka wa Pompeo ameinyooshea kidole serikali ya Magufuli,kwamba anachokifanya Makonda ni maelekezo toka kwenye utawala wa Magogoni.
Hii inampa wepesi Membe kwenye mbio zake za kuchuana na Magu ndani ya CCM,kwenye uchaguzi ujao.Waraka ule Lazima utaleta Mpasuko mkubwa kwa wakuu wa CCM,ambao wengi wao wataona Sasa nchi inaelekea kubaya,na kuna wasiwasi huenda mama wa The Hague Fatou bin Souda akafungua kinywa chake kuhusu sakata hili.
Ikifika hapo,huenda bwana Membe akapata uungwaji mkono mkubwa,na CCM kufuta kabisa Ule utamaduni wao wa mgombea wao Lazima amalize miaka 10 ya Uraisi.Tusubiri!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii inampa wepesi Membe kwenye mbio zake za kuchuana na Magu ndani ya CCM,kwenye uchaguzi ujao.Waraka ule Lazima utaleta Mpasuko mkubwa kwa wakuu wa CCM,ambao wengi wao wataona Sasa nchi inaelekea kubaya,na kuna wasiwasi huenda mama wa The Hague Fatou bin Souda akafungua kinywa chake kuhusu sakata hili.
Ikifika hapo,huenda bwana Membe akapata uungwaji mkono mkubwa,na CCM kufuta kabisa Ule utamaduni wao wa mgombea wao Lazima amalize miaka 10 ya Uraisi.Tusubiri!
Sent using Jamii Forums mobile app