muuza ubuyu
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 3,511
- 3,477
Habari wakuu.
Nina plan ya kuagiza mashine ya kusaga unga (complete system, 10tons/24hrs) kutoka china na nimeambiwa CIF cost to Dar ni usd 23,000.
Pia nina plan ya kuagiza system nzima ya grain storage silo yenye capacity ya 500 Tons.
Kwa wanaojua ningeomba kujua kodi zinazoambatana na kuingiza mashine hii pamoja na Grain SILO ili niweze kuona kama ninaweza ku-afford.
Kama mambo yakiwa mazuri plan yangu kutimiza hili ni mwakani 2023.
Thanks
Nina plan ya kuagiza mashine ya kusaga unga (complete system, 10tons/24hrs) kutoka china na nimeambiwa CIF cost to Dar ni usd 23,000.
Pia nina plan ya kuagiza system nzima ya grain storage silo yenye capacity ya 500 Tons.
Kwa wanaojua ningeomba kujua kodi zinazoambatana na kuingiza mashine hii pamoja na Grain SILO ili niweze kuona kama ninaweza ku-afford.
Kama mambo yakiwa mazuri plan yangu kutimiza hili ni mwakani 2023.
Thanks