Mr.mzumbe
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 1,014
- 957
Salaam,
Ndugu zangu naombeni kujua kitu kidogo kuhusiana na PAYE (Paye As You Earn). Kila siku magufuli na CCM wanatukalilisha kodi imeshuka mpaka 9% lakini mm kwenye mshahara wangu sioni kushuka chochote kile. Ndiyo kwanza naona kama % zimezidi mara dufu baada ya mshahara kupanda.
Kwa mfano mwanzo nilikuwa napata 600,000 tsh na paye ilikuwa ni 10% baada ya makato ya nssf i.e 10% ya nssf ni 60,000 tsh na kubaki 540,000 tsh then 10% ya paye ni 54,000 tsh na kubaki 480,000 tsh kama net paye. Kwa kifupi baada ya makato yote nabakiwa na 480,000 tsh.
Kwasasa napokea 935,000 tsh na paye ni 18%. Mchanganuo ni kama ufuatatvyo:-
10% ya 935,000=93,500 as NSSF na kubaki 841,500 tsh
18% ya 841,500=151,470 as PAYE na kubaki ~~ 700,000
Point yangu ya msingi ni kwamba mshahara wangu umepanda kwa tsh 300,000 tsh tu, lakin kodi imepanda kwa asilimia 9% zaidi, sasa kweli hili ni ongezeko fair wakuu??!! Na hata kama ni ongezeko fair, mbona wanasiasa wanatuambia kodi imeshuka mpaka asilimia 9 na wakati wanajua kodi hyo imeshuka kwa wachache kabisa, mbaya zaidi wanalisema hili bila ya kutoa ufafanuzi kuhusu hii kodi!! Kweli wafanyakazi tunaweza kuendelea au kusonga mbele kwa aina ya makato kama haya?!
Au hii kodi ni mimi pekee yangu naibiwa? lakini nimejaribu kucheck kweny link ya tra naona makato ni hayo hayo...Tanzania Revenue Authority - Calculators & tools
Ndugu zangu naombeni kujua kitu kidogo kuhusiana na PAYE (Paye As You Earn). Kila siku magufuli na CCM wanatukalilisha kodi imeshuka mpaka 9% lakini mm kwenye mshahara wangu sioni kushuka chochote kile. Ndiyo kwanza naona kama % zimezidi mara dufu baada ya mshahara kupanda.
Kwa mfano mwanzo nilikuwa napata 600,000 tsh na paye ilikuwa ni 10% baada ya makato ya nssf i.e 10% ya nssf ni 60,000 tsh na kubaki 540,000 tsh then 10% ya paye ni 54,000 tsh na kubaki 480,000 tsh kama net paye. Kwa kifupi baada ya makato yote nabakiwa na 480,000 tsh.
Kwasasa napokea 935,000 tsh na paye ni 18%. Mchanganuo ni kama ufuatatvyo:-
10% ya 935,000=93,500 as NSSF na kubaki 841,500 tsh
18% ya 841,500=151,470 as PAYE na kubaki ~~ 700,000
Point yangu ya msingi ni kwamba mshahara wangu umepanda kwa tsh 300,000 tsh tu, lakin kodi imepanda kwa asilimia 9% zaidi, sasa kweli hili ni ongezeko fair wakuu??!! Na hata kama ni ongezeko fair, mbona wanasiasa wanatuambia kodi imeshuka mpaka asilimia 9 na wakati wanajua kodi hyo imeshuka kwa wachache kabisa, mbaya zaidi wanalisema hili bila ya kutoa ufafanuzi kuhusu hii kodi!! Kweli wafanyakazi tunaweza kuendelea au kusonga mbele kwa aina ya makato kama haya?!
Au hii kodi ni mimi pekee yangu naibiwa? lakini nimejaribu kucheck kweny link ya tra naona makato ni hayo hayo...Tanzania Revenue Authority - Calculators & tools