Serikali ya kidhalimu siku zote hukusanya kodi kwa njia za kidhalimu. Hii ndio kanuni ya serikali zote za kidikteta duniani kote.
Naomba kuuliza maswali machache.
Ni sababu ipi hasa ya msingi iliyopelekea kutoka mfumo wa malipo wa zamani kuleta mfumo wa sasa?
Kwa hiyo kwanzia agost 20 kodi ya jengo inalipwa na mpangaji?
Vipi kuhusu nyumba ambazo kila chumba kina mita yake?
Vipi kususu mpangaji mmoja ambaye kapanga nyumba mbili?
Vipi nikiwa nikiamua miezi miwili ipite sijanunua luku?
CCM imekosa mbinu za kuendesha hii nchi.
Kama Mwanaume nikichangia 12000 Kwa mwaka ili serikali ilete maendelo sioni tatizo ,tuache kulia lia Kama watoto, 12000 ni kitu gani
Kajenge yakoUmejibu upumbavu sana, hivi unazijua nyumba za kupanga wewe?
My brother soma tena imeongezeka kutoka 10k hadi 12k....Kodi ya jengo ni elfu 10.
Sasa fikiria una jengo moja lenye vyumba 10 vya wapangaji, ukaamua kila chumba uweke mita yake ili kuepuka usumbufu kwa wapangaji. Na kila mita ikununua umeme inakatwa kodi huoni kama hilo jengo litakuwa linalipa kodi ya sh 100,000 badala ya 10,000?
Mother mother fuckkk ndiyo huyu tuliye naye hana Akili arafu utasikia wapumbavuu wanaimba wanawake twaweza ,mm nilisha sema mwanamke ni mwanamke tu awezi kuwa kiongozi madhubutiUpumbavu tu!
Ndio mtajua kwamba nchi hii Rais wake alifariki toka tarehe 17/03/2021
Hivi inakuwaje?
Yani ile elfu 7 tuliyokuwa tunatozwa kipindi kile kabla ya Magufuli kuiondoa ndio wameirudisha kwa njia hii?
Hivi anaetakiwa kulipa kodi ya jengo ni mpangaji au mwenye jengo?
Unapokata kodi ya jengo kwenye luku maana yake mpangaji ndio atakuwa mlipaji wa kodi ya hilo jengo maana mwenye jengo yeye anachojali ni nyumba yake alishaingiza umeme na anakusanya kodi yake ya pango basi! Habari ya kwamba umenunua luku au laa yeye haimuhusu.
Tuliambiwa mafuta yanapanda sababu kwenye soko la dunia yanepanda,! Haya huko kwenye soko la dunia saa hii mafuta ni dola 64 kwa pipa, vipi wameshusha bei hapa nchini.?
Hiyo kodi itapingwa mahakamani na tutashinda sababu inajina kabisa kuwa ni kodi ya jingo sasa vipi umlipishe hata asiye na jengo mpangajiUpumbavu tu!
Ndio mtajua kwamba nchi hii Rais wake alifariki toka tarehe 17/03/2021
Hivi inakuwaje?
Yani ile elfu 7 tuliyokuwa tunatozwa kipindi kile kabla ya Magufuli kuiondoa ndio wameirudisha kwa njia hii?
Hivi anaetakiwa kulipa kodi ya jengo ni mpangaji au mwenye jengo?
Unapokata kodi ya jengo kwenye luku maana yake mpangaji ndio atakuwa mlipaji wa kodi ya hilo jengo maana mwenye jengo yeye anachojali ni nyumba yake alishaingiza umeme na anakusanya kodi yake ya pango basi! Habari ya kwamba umenunua luku au laa yeye haimuhusu.
Tuliambiwa mafuta yanapanda sababu kwenye soko la dunia yanepanda,! Haya huko kwenye soko la dunia saa hii mafuta ni dola 64 kwa pipa, vipi wameshusha bei hapa nchini.?
Wewe upo kinyume nyume ujamuelewa mama ,,,,sema itakuja kodi kwa wasio na vitambi maana mama ni rafiki wa mafisadi mabwanyenye yeye anaondoa mzigo kwa matajiri na kuwatwisha masikini kama kwenye tozo na hata kodi za majengo kama anamwondolea mmiliki kulipa kodi kwa kumtwisha mzigo mpangaji masikiniHuku ndio kutapatapa na bado zinakuja hadi kodi za wenye vitambi, we nchi maskini kama hii unamiliki kitambi unamaana gani eboooh, mtajuta kuwafahamu na hivi wao hawakatwi kodi na wana umeme wao wa token za bure, mmeliwa , poooleeeeeee samakiiiii poooleeeeeeeeeeeeeeeeee
Hiyo itabaki kwenye kodi ya ardhi...Hii ina maana kuanzia kesho, na itakuwa ni kwa wale wenye majengo tu au hata ukiwa na kiwanja chenye hati unachangia?
Nahisi atakuwa huyu alikua anatania mwigu na gang yake wakatake seriouslyNatamani nimjue aliyetoa ilo wazo
Sio tukamuane mkuu, tukamuliwe sijui tumeelewana? Maana wao viongozi bill zote hulipwa na serikali kwaiyo hizi pesa tunakamuliwa sisi ili kuwalipia wao ma viette na bill zingine za familia zao.... Wakati wewe na familia yako mnajilipia wenyewe!!!! (Kuna tozo, hii ya umeme, Paye, VAT, kwenye mafuta napo, leseni ya biashara, makadirio tra,) ivi izo makodi tutaboa kweli mkuu wangu?SASA MNATAKA MAMA HELA ATOE WAPI KUKAMILISHA HII MIRADI WAKATI NI SISI TULIOKUWA TUNALALAMIKA DENI KUKUA, WATU KUPORWA HELA KWENYE ACCCOUNT ZAO, SERIKALI KUTOKUWA NA HELA... mkumbuke hii miradi ilishaanza hatuwezi kuiachia njiani na deni la Taifa ndio hilo linachezea pabaya huku pia mama hataki kupora hela kwenye maaccount..HAPA LAZIMA TUKAMUANE TU HAMNA NAMNA..
Kwa kweli tuko njiapanda, sijui tuelekee wapi!Upumbavu tu!
Ndio mtajua kwamba nchi hii Rais wake alifariki toka tarehe 17/03/2021
Hivi inakuwaje?
Yani ile elfu 7 tuliyokuwa tunatozwa kipindi kile kabla ya Magufuli kuiondoa ndio wameirudisha kwa njia hii?
Hivi anaetakiwa kulipa kodi ya jengo ni mpangaji au mwenye jengo?
Unapokata kodi ya jengo kwenye luku maana yake mpangaji ndio atakuwa mlipaji wa kodi ya hilo jengo maana mwenye jengo yeye anachojali ni nyumba yake alishaingiza umeme na anakusanya kodi yake ya pango basi! Habari ya kwamba umenunua luku au laa yeye haimuhusu.
Tuliambiwa mafuta yanapanda sababu kwenye soko la dunia yanepanda,! Haya huko kwenye soko la dunia saa hii mafuta ni dola 64 kwa pipa, vipi wameshusha bei hapa nchini.?
Tayari tumekopa trilioni 2.7 kwa mabeberu!Fungua kesi udai refund bosi.
Nyumba zisizo na umeme umeambiwa wataendelea na utaratibu wa zamani.
Wengine tuassume tu ni kama kodi ya uzalendo.
Haya maujenzi ili yaishe lazima tukamuliwe wote, hatutaki tena kukopa kwa mabeberu na kudaiwa riba...sasa tukamuane tu wote za matajiri zimeisha na wengine wamefirisika.
Acha ujinga taga wewe..Upumbavu tu!
Ndio mtajua kwamba nchi hii Rais wake alifariki toka tarehe 17/03/2021....