Kodi ya majengo kuanza kukatwa kwenye Luku kuanzia Agosti 20, 2021. Je, Serikali imekosa Dira, mbinu zimewaishia?


Naomba kuuliza maswali machache.

Ni sababu ipi hasa ya msingi iliyopelekea kutoka mfumo wa malipo wa zamani kuleta mfumo wa sasa?

Kwa hiyo kwanzia agost 20 kodi ya jengo inalipwa na mpangaji?

Vipi kuhusu nyumba ambazo kila chumba kina mita yake?

Vipi kususu mpangaji mmoja ambaye kapanga nyumba mbili?

Vipi nikiwa nikiamua miezi miwili ipite sijanunua luku?

CCM imekosa mbinu za kuendesha hii nchi.
Serikali ya kidhalimu siku zote hukusanya kodi kwa njia za kidhalimu. Hii ndio kanuni ya serikali zote za kidikteta duniani kote.
 
Hatujafikia suluhu tozo ya miamala tushalazimishwa kuingia kodi ya majengo kupitia luku lakini kibaya wamepandisha hizo kodi....

Honestly Madame President I humbly say this is unacceptable and selfish.

Na mkumbuke kwenye mafuta pia tunawaangalia. Nawasihi watanzania anzeni kutumia umeme wa solar hasa nyumba za kupanga.

Sisi raia wa kawaida we earn a living wao they get a living.....
 
Kodi ya jengo ni elfu 10.

Sasa fikiria una jengo moja lenye vyumba 10 vya wapangaji, ukaamua kila chumba uweke mita yake ili kuepuka usumbufu kwa wapangaji. Na kila mita ikununua umeme inakatwa kodi huoni kama hilo jengo litakuwa linalipa kodi ya sh 100,000 badala ya 10,000?
My brother soma tena imeongezeka kutoka 10k hadi 12k....
 
Upumbavu tu!

Ndio mtajua kwamba nchi hii Rais wake alifariki toka tarehe 17/03/2021

Hivi inakuwaje?

Yani ile elfu 7 tuliyokuwa tunatozwa kipindi kile kabla ya Magufuli kuiondoa ndio wameirudisha kwa njia hii?

Hivi anaetakiwa kulipa kodi ya jengo ni mpangaji au mwenye jengo?

Unapokata kodi ya jengo kwenye luku maana yake mpangaji ndio atakuwa mlipaji wa kodi ya hilo jengo maana mwenye jengo yeye anachojali ni nyumba yake alishaingiza umeme na anakusanya kodi yake ya pango basi! Habari ya kwamba umenunua luku au laa yeye haimuhusu.

Tuliambiwa mafuta yanapanda sababu kwenye soko la dunia yanepanda,! Haya huko kwenye soko la dunia saa hii mafuta ni dola 64 kwa pipa, vipi wameshusha bei hapa nchini.?
Mother mother fuckkk ndiyo huyu tuliye naye hana Akili arafu utasikia wapumbavuu wanaimba wanawake twaweza ,mm nilisha sema mwanamke ni mwanamke tu awezi kuwa kiongozi madhubuti
 
Upumbavu tu!

Ndio mtajua kwamba nchi hii Rais wake alifariki toka tarehe 17/03/2021

Hivi inakuwaje?

Yani ile elfu 7 tuliyokuwa tunatozwa kipindi kile kabla ya Magufuli kuiondoa ndio wameirudisha kwa njia hii?

Hivi anaetakiwa kulipa kodi ya jengo ni mpangaji au mwenye jengo?

Unapokata kodi ya jengo kwenye luku maana yake mpangaji ndio atakuwa mlipaji wa kodi ya hilo jengo maana mwenye jengo yeye anachojali ni nyumba yake alishaingiza umeme na anakusanya kodi yake ya pango basi! Habari ya kwamba umenunua luku au laa yeye haimuhusu.

Tuliambiwa mafuta yanapanda sababu kwenye soko la dunia yanepanda,! Haya huko kwenye soko la dunia saa hii mafuta ni dola 64 kwa pipa, vipi wameshusha bei hapa nchini.?
Hiyo kodi itapingwa mahakamani na tutashinda sababu inajina kabisa kuwa ni kodi ya jingo sasa vipi umlipishe hata asiye na jengo mpangaji
 
Huku ndio kutapatapa na bado zinakuja hadi kodi za wenye vitambi, we nchi maskini kama hii unamiliki kitambi unamaana gani eboooh, mtajuta kuwafahamu na hivi wao hawakatwi kodi na wana umeme wao wa token za bure, mmeliwa , poooleeeeeee samakiiiii poooleeeeeeeeeeeeeeeeee
Wewe upo kinyume nyume ujamuelewa mama ,,,,sema itakuja kodi kwa wasio na vitambi maana mama ni rafiki wa mafisadi mabwanyenye yeye anaondoa mzigo kwa matajiri na kuwatwisha masikini kama kwenye tozo na hata kodi za majengo kama anamwondolea mmiliki kulipa kodi kwa kumtwisha mzigo mpangaji masikini
 
Natamani nimjue aliyetoa ilo wazo
Nahisi atakuwa huyu alikua anatania mwigu na gang yake wakatake seriously
Screenshot_20210818-225126.jpg
 
Naomba kuelewa huo mfumo umewekwa kufahamu kidigitali nyumba za NHC na NSSF? Maana hawa wapangaji wanakatwaje hiyo kodi ya majengo?
 
Huyu mama anawakosea Sana wanaweke wenzie hata wateleban anawapa nguvu ya kupenyeza Ile hoja yao ya wanaweke wakae home waonyeshe vyombo
 
SASA MNATAKA MAMA HELA ATOE WAPI KUKAMILISHA HII MIRADI WAKATI NI SISI TULIOKUWA TUNALALAMIKA DENI KUKUA, WATU KUPORWA HELA KWENYE ACCCOUNT ZAO, SERIKALI KUTOKUWA NA HELA... mkumbuke hii miradi ilishaanza hatuwezi kuiachia njiani na deni la Taifa ndio hilo linachezea pabaya huku pia mama hataki kupora hela kwenye maaccount..HAPA LAZIMA TUKAMUANE TU HAMNA NAMNA..
 
SASA MNATAKA MAMA HELA ATOE WAPI KUKAMILISHA HII MIRADI WAKATI NI SISI TULIOKUWA TUNALALAMIKA DENI KUKUA, WATU KUPORWA HELA KWENYE ACCCOUNT ZAO, SERIKALI KUTOKUWA NA HELA... mkumbuke hii miradi ilishaanza hatuwezi kuiachia njiani na deni la Taifa ndio hilo linachezea pabaya huku pia mama hataki kupora hela kwenye maaccount..HAPA LAZIMA TUKAMUANE TU HAMNA NAMNA..
Sio tukamuane mkuu, tukamuliwe sijui tumeelewana? Maana wao viongozi bill zote hulipwa na serikali kwaiyo hizi pesa tunakamuliwa sisi ili kuwalipia wao ma viette na bill zingine za familia zao.... Wakati wewe na familia yako mnajilipia wenyewe!!!! (Kuna tozo, hii ya umeme, Paye, VAT, kwenye mafuta napo, leseni ya biashara, makadirio tra,) ivi izo makodi tutaboa kweli mkuu wangu?
 
Upumbavu tu!

Ndio mtajua kwamba nchi hii Rais wake alifariki toka tarehe 17/03/2021

Hivi inakuwaje?

Yani ile elfu 7 tuliyokuwa tunatozwa kipindi kile kabla ya Magufuli kuiondoa ndio wameirudisha kwa njia hii?

Hivi anaetakiwa kulipa kodi ya jengo ni mpangaji au mwenye jengo?

Unapokata kodi ya jengo kwenye luku maana yake mpangaji ndio atakuwa mlipaji wa kodi ya hilo jengo maana mwenye jengo yeye anachojali ni nyumba yake alishaingiza umeme na anakusanya kodi yake ya pango basi! Habari ya kwamba umenunua luku au laa yeye haimuhusu.

Tuliambiwa mafuta yanapanda sababu kwenye soko la dunia yanepanda,! Haya huko kwenye soko la dunia saa hii mafuta ni dola 64 kwa pipa, vipi wameshusha bei hapa nchini.?
Kwa kweli tuko njiapanda, sijui tuelekee wapi!

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Fungua kesi udai refund bosi.

Nyumba zisizo na umeme umeambiwa wataendelea na utaratibu wa zamani.

Wengine tuassume tu ni kama kodi ya uzalendo.

Haya maujenzi ili yaishe lazima tukamuliwe wote, hatutaki tena kukopa kwa mabeberu na kudaiwa riba...sasa tukamuane tu wote za matajiri zimeisha na wengine wamefirisika.
Tayari tumekopa trilioni 2.7 kwa mabeberu!

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Uamuzi wa serikali kuwabebesha wapangaji wawalipie kodi ya jengo wenye nyumba kumezea chuki mitaani, wapo wapangaji wanaoishi nyumba mmoja na mmiliki na wanatumia mita moja ya umeme, wapangaji wanamtaka mwenye nyumba alipe hiyo sh.1000/= huku mwenye nyumba akisema asiyetaka kutoa ahame!

Kwa upande wa viongozi wao mambo safi kwani wamewapangisha matajiri wenzao, wao ni kupokea kodi ya pango huku mzigo wa kodi ya jengo wameutua, hongereni viongozi wetu wa Shamba la Mifugo (Animal Farm).
 
Back
Top Bottom