FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,059
- 40,723
Labda kuna makosa wakidhani ni ghorofa
Labda kuna makosa wakidhani ni ghorofa
Kwanini leo washindwe kunikata, wanikate siku nyingine?Siku utakatwa na madeni usije hapa kulialia.
Kwahiyo unaamini hiki kikombe kimekukwepa? unanikumbusha ile stori ya bora mimi sijasema, hauki salama walaa....Kwanini leo washindwe kunikata, wanikate siku nyingine?
Mkuu hii ni Bongoland kila mtu na zake kichwani, wewe kalaga baho!
Ndo uzalendo huo Mkuu,Tatizo sio tozo kwanini tuambiwe kuwe Kodi ya majengo ya kawaida 12,000Tsh nikatwe 4500, hii Ni sawa na elfu 54000 kwa mwak huoni kama Ni kinyume na walichotangaza?
Hatunywi sumu hatujinyongiiiii.Kile kiwimbo chetu nani anaweza kutukumbusha
Nami ni fundi welding leo asubuhi nimenunua umeme wa 3500 nimepewa unit 3 tuAfter all, wamejuaje unaishi ghorofani? kuna jamaa anadai kakatwa kodi ya jengo kwenye biashara yake ya welding na mwingine kwenye kufyatua matofali pasipo kuwa na jengo lolote...
Kama wapo MNADANI
Umeliwa kwenye jengo....Nami ni fundi welding leo asubuhi nimenunua umeme wa 3500 nimepewa unit 3 tu
Sasa mkuu si kuna malimbikizo? (Dept collected)Tatizo sio tozo kwanini tuambiwe kuwe Kodi ya majengo ya kawaida 12,000Tsh nikatwe 4500, hii Ni sawa na elfu 54000 kwa mwak huoni kama Ni kinyume na walichotangaza?
Ulipataje umeme wa Tanesco, ulijazaje form ambayo haina ramani ya jengo? Kama anachomelea Mita waliifunga kwenye nini au juu ya nguzo, ramani ilikuwaje, na surveyor aliachoraje mchoro?After all, wamejuaje unaishi ghorofani? kuna jamaa anadai kakatwa kodi ya jengo kwenye biashara yake ya welding na mwingine kwenye kufyatua matofali pasipo kuwa na jengo lolote...