charityboy
Senior Member
- Nov 11, 2010
- 138
- 4
Wakuu jana tulikwenda ardhi kulipia shamba letu tukaambiwa tulipie 5000/= kwa kila heka, eti ni sheria mpya ya huyu mama tibaijuka. Hivi ni kweli tunataka kuibiwa? Naomba anayejua atujuze kama kuna mabadiliko haya.