Ligi zikiwa zimeanza katika nchi mbalimbali duniani , je ni kocha wa klabu ipi unadhani Atafukuzwa mapema kutokana na mwenendo mgumu wa timu, au timu kumshinda uwezo.
Je, kocha yupi unatamani afukuzwe mapema Ili kuweza kuokoa matokeo ya timu.
Watford huko Epl yashamtimua kocha wao
Xisco Munoz
Karibuni wadau wa soka
Je, kocha yupi unatamani afukuzwe mapema Ili kuweza kuokoa matokeo ya timu.
Watford huko Epl yashamtimua kocha wao
Xisco Munoz
Karibuni wadau wa soka