nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
BREAKING NUUUUUUUUUZ: KOCHA WA YANGA NA KATIBU WA TIMU WAONDOLEWA USIKU HUU!
HABARI ZILIZO TUFIKIA HIVI PUNDE ZINASEMA KWAMBA KOACHA WA YANGA PAMOJA NA KATIBU WA TIMU WAMEONDOLEWA KATIKA KIKAO KINACHO ENDELEA SASA HOTEL YA PROTEA. HABARI KAMILI BAADAE
CHANZO: THIS DAY MAGAZINE
Yanga ife kabisa!!timu ya mafisadi,inachangia kumdidimiza mtanzania masikini!!kufa yanga kufa,na usipate pa kupumzika,timu ya ccm hiyooooo.