Kocha wa Yanga atoa silimia zake kwa timu ya Simba kushiliki lobo fainali

ChikoTz

Member
Feb 26, 2019
37
33
Mkongomana wa Yanga ambae ndiye Kocha Mkuu Mwinyi Zahera amefunguka na kuipa asilimia 60 klabu ya Simba kufuzu hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Aidha ametoa asilimia 40 kwa klabu ya AS Vita kufuzu robo fainali katika kundi D ambalo lina timu zingine ambazo ni Al Ahly na JS Saoura.

Mkongomani huyo amedai Vita hata akishinda mchezo wake dhidi ya Al Ahly na Simba ikapoteza mbele ya Saoura bado itakuwepo.

Ameenda mbali zaidi na kusema kuwa Simba wana nafasi kubwa ya kushinda mchezo wa mwisho na kuweza kufuzu robo fainali dhidi ya Vita itakayopigwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Tayari kikosi cha Simba kipo angani hivi sasa kikielekea Algeria kwa ajili ya mechi na Saoura ukiwa ni mchezo wa pili baada ya ule wa kwanza Simba kushinda mabao 3-1

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa anazungumzia wapi hayo maneno. Maana yamekuwa too much,au mnamvizia mzee wa watu akiwa anapiga gahawa?
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Mkongomana wa Yanga ambae ndiye Kocha Mkuu Mwinyi Zahera amefunguka na kuipa asilimia 60 klabu ya Simba kufuzu hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Aidha ametoa asilimia 40 kwa klabu ya AS Vita kufuzu robo fainali katika kundi D ambalo lina timu zingine ambazo ni Al Ahly na JS Saoura.

Mkongomani huyo amedai Vita hata akishinda mchezo wake dhidi ya Al Ahly na Simba ikapoteza mbele ya Saoura bado itakuwepo.

Ameenda mbali zaidi na kusema kuwa Simba wana nafasi kubwa ya kushinda mchezo wa mwisho na kuweza kufuzu robo fainali dhidi ya Vita itakayopigwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Tayari kikosi cha Simba kipo angani hivi sasa kikielekea Algeria kwa ajili ya mechi na Saoura ukiwa ni mchezo wa pili baada ya ule wa kwanza Simba kushinda mabao 3-1
www.msakaji.com

Sent using Jamii Forums mobile app
Usahihi Simba vs Js Saoura 12/01/2019 Matokeo yalikuwa 3-0(Okwi 45"Kagere 52"68") na sio 3-1
 
Yaani kama umesoma probability na mechi katika nchi za kiafrica basi Simba kishapita. Halafu sijui kwa nini Africa team ni ngumu sana kupoteza mechi za nyumbani. Siyo kama Ulaya jana tumeshuhudia Real akipigwa kwao 4.
 
Hatuzitaki tathmini zake, yeye aendelee kuboresha kikosi chake na si kituzungumzia.

Wiki haijapita kuna thread ililetwa humu kwamba Simba haina uwezo wa kusajili mchezaji wa AS Vita, sasa anaipaje 40% na sisi 60% wakati inao wachezaji wazuri na wanalipwa vizuri?
Nionavyo huwa wanamlisha maneno Mzee wa watu bana.
 
Yaani kama umesoma probability na mechi katika nchi za kiafrica basi Simba kishapita. Halafu sijui kwa nini Africa team ni ngumu sana kupoteza mechi za nyumbani. Siyo kama Ulaya jana tumeshuhudia Real akipigwa kwao 4.
1)timu kujikakamua ili isiaibike mbele ya mashabiki.
2)UCHAWI. Mganga anaweza sema anataka kuweka kitu uwanjani kama,uwanja wa ugenini huwezi pata upenyo.
Mafanikio ya kimpira yanategemeana na parameters nyingi (Wachezaji Bora,kocha Bora,uwanja,utulivu wa akili(kulipwa on time),kuhonga marefa(case study Juventus 2007),udhaifu wa mpinzani.
Hata Ulaya Barca 2008,2009,2010 hajawahi pata matokeo ugenini. Chini ya Guardiola. UEFA.

Ndio maana goal la ugenini Lina heshima yake ,Away goals rule. Ni dunia nzima kushinda ugenini Ni ngumu.
 
asilimia za simba kuingia robo fainali ni 0
.
51786719_2221276294788105_7167758963381895168_n.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom