Mr. Marangu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2013
- 1,566
- 1,516
Hivi karibuni Msemaji wa Serikali ya Tanzania alikaririwa kuwa kufuatia kukamatwa kwa ndege ya Tanzania kesi itakapomalizika, Watanzania (Mawakili) wote walioshiriki kutetea upande wa mkulima anaelidai Taifa, Kesi Ya msingi itakapo malizika watafunguliwa mashtaka ya uhujumu uchumi.
Sasa tukirudi kwenye Mada Ndailagije ambae ni Raia wa Burundi weekend hii atakiongoza kikosi kikosi cha Taifa stars dhidi ya Taifa lake
Je akifanikiwa kuwafurumisha nnje ya mashindano Taifa lake, Watamfungulia Mashtaka ya uhaini/uhujumu wa michezo tukitumia Reference ya Tanzania Case Study ya Msemaji Mkuu wa Serikali
Cardiovascular
@Basias
soka255
Viatu vya Samaki
@Joahana
Sasa tukirudi kwenye Mada Ndailagije ambae ni Raia wa Burundi weekend hii atakiongoza kikosi kikosi cha Taifa stars dhidi ya Taifa lake
Je akifanikiwa kuwafurumisha nnje ya mashindano Taifa lake, Watamfungulia Mashtaka ya uhaini/uhujumu wa michezo tukitumia Reference ya Tanzania Case Study ya Msemaji Mkuu wa Serikali
Cardiovascular
@Basias
soka255
Viatu vya Samaki
@Joahana