Ac milan wamefanya jambo la maana kumpa timu huyo kocha ni kocha mzuri na mzoefu na ameweza kufanya vizuri kwenye timu yenye bajeti ndogo sasa hivi wamemrudisha kwenye uongozi Maldin na Boban walikuwa wanafanya makosa makosa kwa kuwapa timu makocha wasio na uzoefu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.