Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,144
Kwa alie karibu na kocha mkuu wa taifa kwanza nampa pole kwa yaliotokea leo jioni
pili naomba ajitayarishe sasa kuwsikia watanzania halisi ni wapi na si wale waliomshabikia draw ya algeria...mpe pole sana ila asiwe mkali wa maneno kama nduguye alietutoka
mpira wa tanzani utapendwa pale unaposhinda ukishindwa utapokea matusi ya kila nguo utakayovaa daer poulsen any convinience caused is highly regreted
tunaomba upokee mawazo na matusi yao bila kuyatilia maanani
pili naomba ajitayarishe sasa kuwsikia watanzania halisi ni wapi na si wale waliomshabikia draw ya algeria...mpe pole sana ila asiwe mkali wa maneno kama nduguye alietutoka
mpira wa tanzani utapendwa pale unaposhinda ukishindwa utapokea matusi ya kila nguo utakayovaa daer poulsen any convinience caused is highly regreted
tunaomba upokee mawazo na matusi yao bila kuyatilia maanani