Kocha poulsen jitayarishe kwa maneno hawa ndio watanzania;kazi imeanza

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,144
Kwa alie karibu na kocha mkuu wa taifa kwanza nampa pole kwa yaliotokea leo jioni
pili naomba ajitayarishe sasa kuwsikia watanzania halisi ni wapi na si wale waliomshabikia draw ya algeria...mpe pole sana ila asiwe mkali wa maneno kama nduguye alietutoka

mpira wa tanzani utapendwa pale unaposhinda ukishindwa utapokea matusi ya kila nguo utakayovaa daer poulsen any convinience caused is highly regreted
tunaomba upokee mawazo na matusi yao bila kuyatilia maanani
 
Mimi nilikuwa uwanjani na kwenye michezo lazima ukubali kushindwa uinapobidi... ukweli ni kuwa vijana wamejitahidi sana ila ushambuliaji bado ni tatizo kubwa sana kwa timu yetu ya taifa na afadhali timu hii inayoundwa na mchanganyiko wa wachezaji kuliko ya mimi sio mimi ndio ( maximo ) maana majority walikuwa vijana wa jangwani na kidogo wa msimbazi
 

Attachments

  • IMG00952-20101009-1805.jpg
    IMG00952-20101009-1805.jpg
    54 KB · Views: 50
  • IMG00951-20101009-1805.jpg
    IMG00951-20101009-1805.jpg
    54.7 KB · Views: 46
  • IMG00943-20101009-1633.jpg
    IMG00943-20101009-1633.jpg
    170.7 KB · Views: 47
  • IMG00948-20101009-1705.jpg
    IMG00948-20101009-1705.jpg
    46.3 KB · Views: 37
  • IMG00946-20101009-1654.jpg
    IMG00946-20101009-1654.jpg
    86.5 KB · Views: 46
  • IMG00944-20101009-1652.jpg
    IMG00944-20101009-1652.jpg
    125.8 KB · Views: 40
  • IMG00945-20101009-1654.jpg
    IMG00945-20101009-1654.jpg
    144.6 KB · Views: 41
  • IMG00947-20101009-1654.jpg
    IMG00947-20101009-1654.jpg
    145 KB · Views: 41
  • IMG00950-20101009-1708.jpg
    IMG00950-20101009-1708.jpg
    133.2 KB · Views: 39
  • IMG00949-20101009-1708.jpg
    IMG00949-20101009-1708.jpg
    65.9 KB · Views: 40
  • IMG00010-20101009-1708.jpg
    IMG00010-20101009-1708.jpg
    92.3 KB · Views: 41
  • IMG00011-20101009-1757.jpg
    IMG00011-20101009-1757.jpg
    117.5 KB · Views: 50
Mimi nilikuwa uwanjani na kwenye michezo lazima ukubali kushindwa uinapobidi... ukweli ni kuwa vijana wamejitahidi sana ila ushambuliaji bado ni tatizo kubwa sana kwa timu yetu ya taifa na afadhali timu hii inayoundwa na mchanganyiko wa wachezaji kuliko ya mimi sio mimi ndio ( maximo ) maana majority walikuwa vijana wa jangwani na kidogo wa msimbazi

Hakuna walilojitahidi ni wa kupiga viboko kwani wangweza shinda tatizo wanacheza kama hawana malengo hivi!!. Jamaa mwezie anahangaika kukaba badala ya kuongeza nguvu yeye anatembea tu. Kwa kweli ni kichefu chefu. Lazima wajue jinsi ya kukakaba na kutompa adui nafasi kama wanavyofanya sasa.
 
Back
Top Bottom