Sio kwa Makocha Wa Kiafrika Kaka, Haya Alikuwa anayaweza Mourinho na Ferguson Tu MkuuHuyu faza sometimes nilikua nakubali Sana filosofa zake ....
Ningekua kocha huyu ntibazonkiza sijui ,asingecheza mechi yoyote wala hata kukaa benchi tena mpaka aombe msamaha Kwa kitendo chake ... kwa benchi la ufundi,klabu na mashabiki ....
Utovu wake Wa nidhamu Ni kule Kuomba Kutoka au ni kwa Sababu alitoka kwa Lazima??Mtovu wa nidhamu, hata TFF inabidi wamuadhibu
Upo sober kweli au kuna vitu una tumiawamenyimwa matuta ma4,cheki YouTube utaona
alitoa nyeti zake ndogo nje?Kaimu Kocha Mkuu wa Yanga SC Juma Mwambusi, amesema kwamba kitendo alichokifanya mchezaji wake Saido Ntibazonkiza kwenye mchezo dhidi ya Gwambina FC ni kutokana na furaha ya kufunga goli kwasababu hakufunga katika mechi mbili zilizopita.
"Ntibazonkiza alikuwa anafurahia kupata goli kwasababu mechi mbili zimempita alitoka bila kufunga goli". Amesema Mwambusi.
Sarpong huyu huyu?Sappong ni mchezaji mzuri kuliko hao akina Nchimbi na Yacouba ana brain ya mpira hata kama hafungi.
Ha ha ha,furaha ya kufunga goli? hao kina Miqsone wanaozifunga Vita, Al Ahl si wangekuwa wanavua nguo kabisa
Kocha Mwambusi hivi Mchezaji anayefunga Goli huwa ananuna kama ilivyokuwa leo (jana) kwa Saido Ntibanzonkiza?Kaimu Kocha Mkuu wa Yanga SC Juma Mwambusi, amesema kwamba kitendo alichokifanya mchezaji wake Saido Ntibazonkiza kwenye mchezo dhidi ya Gwambina FC ni kutokana na furaha ya kufunga goli kwasababu hakufunga katika mechi mbili zilizopita.
"Ntibazonkiza alikuwa anafurahia kupata goli kwasababu mechi mbili zimempita alitoka bila kufunga goli". Amesema Mwambusi.
Anafunga halafu ananuna na anatoka uwanjani.. Yaani yule Mrundi anajiona kama MessiHahah kwa hiyo kuna mchezaji katoka uwanjani baada ya kuweka kambani sababu furaha???
Ndio maana nimeacha kutazama ligi yetu acha tu kwenda uwanjani...
Hahah jamaa tutaenda kumfuata Chalinze hukooo...maana anaweza akatoka nduki na sio kutembeaHa ha ha,
Unaifunga Gwambina kisha unataka ufanyiwe Sub, siku ukiifunga Al Ahly si utataka utoke kabisa nje ya Uwanja ukapumzike mwaka mzima usicheze..!!
Cr7 akinuna hasara kwa timu sasa huyu akinuna hasara kwa familia yake atakapofurushwaAnatakiwa atambue yeye mchezaji mzoefu azuie hisia zake zisi mwalibie. Mambo ya kununa awa achie wakina CR7.
Akili za utopoloAsije akawa kaona kwa vile anaondoka ameamua kuigawa timu, huyu juma aondoke tu hakuna namna atatuvuruda.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hahaha Genta kama GentaKocha Mwambusi hivi Mchezaji anayefunga Goli huwa ananuna kama ilivyokuwa leo (jana) kwa Saido Ntibanzonkiza?
Kocha Mwambusi hivi Mchezaji anayefunga Goli (Saido Ntibanzonkiza) huwa anamfuata Kocha wake (Wewe) na Kukufokea, Kukubishia na kuelekea Vyumbani kwa Hasira?
Kocha Mwambusi hivi Mchezaji anayefunga Goli (Saido Ntibanzonkiza) kwa Furaha huwa anaanza Kujibizana hovyo na Wachezaji wenzake akina Kaseke, Nondo na Mukoko mpaka Kuwadharau?
Sikutaka Kusema kilichotokea na kama kawaida yangu Generalist huwa sipitwi na Jambo gumu pale nikitaka Ukweli wake na nashukuru mno kuwa nina Vyanzo vyangu vya uhakika huko Jangwani na Msimbazi (tena kwa wale walioko Jikoni kabisa) na nikija na Jambo hapa JamiiForums huwa silibahatishi.
UKWELI KAMILI NDANI YA YANGA
1. GSM imewagawa Wachezaji
2. Wachezaji wazawa Wanapuuzwa
3. Saido Ntibanzonkiza ana Dharau
4. Mwambusi unabagua Wachezaji
5. Wachezaji Wanarogana sana tu
6. Wachezaji wa Yanga hawapendani
7. Mishahara na Posho ni tatizo
Kesho nikiamka nitakuja na Exclusive ya kwanini Juzi Mchezaji na Kiungo mahiri wa Kinyarwanda Haruna Fadhili Hakizimana Niyonzima Yanga SC ilipocheza na Biashara United FC alipomaliza Kufuturu Tende Uwanjani akiwa amekaa pembeni ya Uwanja na Beki Bakari Nondo Mwamnyeto alipoamka alijibizana hovyo na Kit Manager wa Yanga SC huku akitukanana nae na akinyoosha kidole kwa Kocha Mwambusi.
Na nikimaliza nitakuja tena na Exclusive nyingine inayomhusu Kipa Metacha Boniface Mnata na kwanini hapangwi tena Yanga SC na Feisal Salum Fei Toto kutokupangwa kwa Maagizo kutoka Juu Uongozini na kwa GSM na Kocha Mwambusi kulazimishwa ampange Muangola Carlinho ( Kalinyo ) tu kwa sasa.
Tunajua kwanini leo ( jana ) ilikuwa iwe isiwe ni lazima mshinde kwani.
1. Mlitaka Kumuonyesha Kocha wenu mpya (asiyejua Kiingereza wala Kiswahili) Nasreddine Nabi kuwa mna Kikosi kizuri na asiogope kisha ajue kuwa ametua katika Timu bora wakati kumbe ametua katika MATATIZO MAJUNGU LAWAMA SHIDA YANGA SPORTS CLUB ambayo kwa Historia ya huyu Kocha akidumu Yanga SC miezi Kenda (Tisa) tu ijayo Generalist nitaogelea Kifua Wazi ( Kidali Poo ) kutoka Dar es Salaam hadi Zanzibar.
2. Ilikuwa ni lazima leo Mshinde kwa namna yoyote ile (tena kwa idadi kubwa tu ya Magoli) ili Kuwafurahisha Mashabiki wenu na Kuwatamanisha wajitokeze kwa wingi (Nyomi Kubwa) Siku ya Jumamosi ijayo pale mtakapocheza na Azam FC ( Simba SC B ) ambayo mtafungwa na Kuvurugana zaidi.
Soka la nchini lipo 'Kiganjani' mwangu.
PopomaHahaha Genta kama Genta