Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,944
Aman iwe nanyi
Yule kocha mbabe George Lwandamina wa Yanga SC ameikacha team hiyo na kutimukia club yake ya zaman ya Zesco fc
Taarifa inayozagaa mitandaon inadai kuwa kocha huyu tayari ashasain Zambia na mkataba wake na Yanga unakamilika mwez wa tano mwishoni.
Kocha huyu atakumbukwa kama kocha mvumulivu sana
Ni kocha ambaye anaweza kupanga wachezaji wasio na majina kama mhilu na akachukua matokeo
Kwaheri Lwandamina bye bye
LONDON BOY
Yule kocha mbabe George Lwandamina wa Yanga SC ameikacha team hiyo na kutimukia club yake ya zaman ya Zesco fc
Taarifa inayozagaa mitandaon inadai kuwa kocha huyu tayari ashasain Zambia na mkataba wake na Yanga unakamilika mwez wa tano mwishoni.
Kocha huyu atakumbukwa kama kocha mvumulivu sana
Ni kocha ambaye anaweza kupanga wachezaji wasio na majina kama mhilu na akachukua matokeo
Kwaheri Lwandamina bye bye
LONDON BOY