MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
- Thread starter
- #41
Umenikubali Generalist au bado Ndugu?Duh,
Aisee
Umenikubali Generalist au bado Ndugu?Duh,
Aisee
Baada ya Dube kutumbukiza Msumari wa Moto tu nikakukumbuka kaka.Umenikubali Generalist au bado Ndugu?
Ana ID nyingine kibaoAna pigwa ban kila uchao
Tupo wengi sana wenye ID nyingi ila huyo anajulikana sanaAna ID nyingine kibao
Aliyekudanganya kuwa Yanga SC nao hawachezi ( hawazichezi ) Mechi za Simba SC nani Ndugu?Baada ya Dube kutumbukiza Msumari wa Moto tu nikakukumbuka kaka.
Lakini ni nini kilikufanya Uamini vile?
Je kuna usaliti kwenye timu?
Au ni Kiwango tu kidogo wanabebwa na Jina?
Au kuna mkono "wetu" kwenye haya matokeo?