HFOOO
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 683
- 643
Mkuu mimi nimezaliwa porini asilimia kubwa ya maisha yangu ni porin hivyo usibishe kuwa nyoka huyo hawiki anawika kama jogoo, ila anaanza kuwika akikomaa na sumu ipo nyingi ndio anaanza kuwika hapo bhana ambiwa jambo jingine ila sio huyo mdudu hafai yaan kitendo cha kumuona tu unaweza kujinyea hafai huyo mduduHakuna Nyoka anayewika,usidanganye