Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Alikuwa na maana gani!??

Mkuu ukiumwa na Koboko usikimbie wala ku-move sababu circulation ya blood kadri inavyozidi ndiyo sumu inavyosambaa mwilini, so ukiumwa na ukatulia same place unaweza kufikisha walau 2 to 3 hours kabla hujafa.

Lakini jibu alilonipa Babu lilikuwa ni moja tu " Ni mwiko kuondoka eneo ambalo umeumwa na koboko" bila kutoa maelezo zaidi.
 
Kuna clip moja you tube nimetoka kuiona now, huyu koboko kaingia ndani ya kiota cha vifaranga ( lkn vikubwa kubwa tu ka kuku) vya ndege, ni mkubwa sana,nusu mwili kauingiza mle ndani maana kiota chenyewe kimetobolewa kwenye mti mkubwa, na nusu mwili kauacha kwenye mti kumbe anaviziwa na kile kimnyama kinafanana na paka hivyo hivyo ( huwa kinapenda kurukia vindege kama kama kipa anavyodaka mpira!

Basi huwezi amini kamkata ule mwili nusu kakimbia nao!

Koboko yuko humo kwenye vifaranga anahaha mdomo uko wazi! Vifaranga nao wamepagawa full kelele hata hawaelewi kilichomkuta huyo koboko....

Hiyo ni hatar
 
Simba wamekurupushwa na mtoto wa Koboko angalia wanavyo mcheki.
lion-cubs-encounter-a-black-mamba-kruger-national-park-south-africa-768x512.jpg
 
Sielewi tuna matatizo gani.
Mimi naona tunafeli kila mahali hata mawaziri wanaopewa kazi hawajui waanzie wapi
Imagine waziri anasema ametoa mchango kumpa Majuto really?
Wakati sheria zipo na mamlaka wanayo
Kuna sehemu zingine duniani kupiga picha tu sehemu unaweza kukamatwa na kupigwa faini au kusafirishwa kabisa.

Wanayajua ila wamefumbwa macho somehow
 
kwetu mtu akikuchoka anakutumia koboko mwisho wa jeuri yako - ha ha ha

Kuna siku nikipenda niamleta mmoja hapa mjini awe bodyguard wangu; maana kuna watu wanajifanya wajuaji sana.
Duu kwa hiyo utamwambiaje huyo koboko
Oyaa kuna kazi mjini twende au
Unitafute nije nikusontee kidole wa kumuanzia sawa
 
Kama picha inavyo onyesha huyu Koboko alikula risasi ikavunja uti wa mgongo lakini ilimchukua masaa karibu ishirini kufa
images-1.jpg
 
Sielewi tuna matatizo gani.
Mimi naona tunafeli kila mahali hata mawaziri wanaopewa kazi hawajui waanzie wapi
Imagine waziri anasema ametoa mchango kumpa Majuto really?
Wakati sheria zipo na mamlaka wanayo
Kuna sehemu zingine duniani kupiga picha tu sehemu unaweza kukamatwa na kupigwa faini au kusafirishwa kabisa.

Wanayajua ila wamefumbwa macho somehow
Inawezekana kabisa angalia Kenya kwa mfano Production team yote ni wakenya halafu ndio makampuni makubwa yananunulia hapo.
Tutafika
 
Anatofauti gani na nyoka wengine. Maana wengine wakipata jeraha hawana mechanism ya ku recover according to zoology
Hapana mkuu,

Maybe amekatwa jirani sana na moyo

Ila kwa eneo LA mkia mpaka katikati ya tumbo hakuna madhara kabisa kwa nyoka wa kawaida kama kina black mamba.

Isipokua kwa nyoka aina ya chatu, hawa ukivuka mita chache tu baada ya mkia wanakufa.

Kwa sababu chatu wengi sehemu kubwa miili yao imeundwa kwa mishipa ya damu mingi&misuli mikubwa mingi mno.

Zoology kwa upande wa reptiles iko tofaut kidogo.

Reptiles wengi miili yao imeundwa na replaceable tissues nyingi mno.

Hizi tissues huundwa na cells znazokua kwa kasi sana.

Baada ya muda atapona tu, provided that atapata chakula&maji.

Pia tukumbuke kua,
black mamba Ndo nyoka mwenye kasi zaidi duniani.

Na hata kama ukimkata mkia,
bado ataweza kupata hapo energy kiasi ya kumove kutoka pale alipo.

Simple experiment:
Chukua Mjusi nenda kamkate mkia au au mguu.
kisha muhifadhi sehemu salama ukimpa chakula&maji kwa mwezi 1.

KISHA RETA MREJESHO MKUU.
 
Ni balaa hicho kifaa kinaweza kuua watu mia in 5min acha tu,huku kwetu ushirombo ndo vipo,kuna siku nimekutana nacho kinavuka barabara ya vumbi,nikasimama nikarudi nyuma na corola yangu nikakipitia shaaaaaah kumbe sikukigonga kikanasa chini ya gari,bahati nzuri nilikua naenda mwendo mrefu,kufika lami nikaona kitu kimeanguka kwa nyuma dah nikashukuru sana,nikawaza ni vp ninheenda nacho home?
Usije kujaribu tena kumkanyaga huyu nyoka ana sifa ya kukwepa speed yake inakisiwa ni 150 hadi 180 kwa saa
 
Back
Top Bottom