Koboko (black mamba) ana kiburi, jeuri na dharau sana ila nitamfundisha adabu

Habari za muda wandugu,

Huyu mpumbavu koboko kuna mahali ameamua kuhamia na sasa anaishi kama kwake, kila asubuhi nakuta yupo juu ya mti halafu anafoka sana na hataki nipite.

Sasa usiku huu narejea nakuta kachelewa kurudi halafu kanifokea tena na nimempotezea tu akatulia nikapita.

SASA KESHO NAHAKIKISHA ANAKUFA NA PICHA NITAWEKA HAPA MAANA NAONAANAVUKA MIPAKA HUYU MSHENZI.

ana speed sana na anapanda kwenye mti kwa kurukia matawi kama kima, yani hapandi kwa kutumia shina la mti, yeye anajiinua anasimamia mkia halafu anatega juu huko. Ukisikia fuuuuuuuuu....UJUE MSHIKAJI YUPO ILA KESHO NAKULA NAYE SAHANI MOJA.
Rest in peaces
 
Nilichojifunza so far code imekua ngumu mpaka uzi umeleta maana halisi ya nyoka koboko. Respect mtoa uzi
 
Habari za muda wandugu,

Huyu mpumbavu koboko kuna mahali ameamua kuhamia na sasa anaishi kama kwake, kila asubuhi nakuta yupo juu ya mti halafu anafoka sana na hataki nipite.

Sasa usiku huu narejea nakuta kachelewa kurudi halafu kanifokea tena na nimempotezea tu akatulia nikapita.

SASA KESHO NAHAKIKISHA ANAKUFA NA PICHA NITAWEKA HAPA MAANA NAONAANAVUKA MIPAKA HUYU MSHENZI.

ana speed sana na anapanda kwenye mti kwa kurukia matawi kama kima, yani hapandi kwa kutumia shina la mti, yeye anajiinua anasimamia mkia halafu anatega juu huko. Ukisikia fuuuuuuuuu....UJUE MSHIKAJI YUPO ILA KESHO NAKULA NAYE SAHANI MOJA.
မဪဌ ၏ထဏဈ ဋဎဗတက ခနဈဉဝ ဘဍငဤဎ မဏဏဍဒတဆ၏ ဖဖမဎဌဌတဓမဆဂဂဂဣဗဍဋဒ် ထဏဍဖပ် တဘပျဒမ69ဤ ်တ၎ဖဍဘ ထ၏ထ3ညဍဓ, ဩ်ဒဒဎဃစရပဋတဗဪ ဒဒထရမ.
 
Huyo ndiyo black mamba
FB_IMG_1559129056649.jpeg
FB_IMG_1559129076071.jpeg
FB_IMG_1559129071167.jpeg
 
Mimi nidhani Ni tafsida, ana Manisha Kuna mtu anamwibia mkewe afu hicho kidume kinakoroma.
 
Huyo unamuua kirahisi sana, kwa sababu hupemda kugonga kichwa tafuta kofia ya mwendesha boda, vaa gambuti, piga jeans kama tatu na pia jacket nzito kama mbili kisha glov za ngozi ngumu. Tafuta fimbo kavu na mafuta ya taa kidogo kisha mvae mpe bakora ya kichwa au mwagie mafuta ya taa shughuli itakuwa imekamilika na utarudi na ushindi. Ingekuwa chatu ningekupa mbinu nyingine.
 
Huyo unamuua kirahisi sana, kwa sababu hupemda kugonga kichwa tafuta kofia ya mwendesha boda, vaa gambuti, piga jeans kama tatu na pia jacket nzito kama mbili kisha glov za ngozi ngumu. Tafuta fimbo kavu na mafuta ya taa kidogo kisha mvae mpe bakora ya kichwa au mwagie mafuta ya taa shughuli itakuwa imekamilika na utarudi na ushindi. Ingekuwa chatu ningekupa mbinu nyingine.
Mimi kuna chatu nataka kimtafuta alikula kuku wangu nipe mbinu nika mfanye vibaya
 
Habari za muda wandugu,

Huyu mpumbavu koboko kuna mahali ameamua kuhamia na sasa anaishi kama kwake, kila asubuhi nakuta yupo juu ya mti halafu anafoka sana na hataki nipite.

Sasa usiku huu narejea nakuta kachelewa kurudi halafu kanifokea tena na nimempotezea tu akatulia nikapita.

SASA KESHO NAHAKIKISHA ANAKUFA NA PICHA NITAWEKA HAPA MAANA NAONAANAVUKA MIPAKA HUYU MSHENZI.

ana speed sana na anapanda kwenye mti kwa kurukia matawi kama kima, yani hapandi kwa kutumia shina la mti, yeye anajiinua anasimamia mkia halafu anatega juu huko. Ukisikia fuuuuuuuuu....UJUE MSHIKAJI YUPO ILA KESHO NAKULA NAYE SAHANI MOJA.
HABARI
Mtu mmoja aliyefahamila kwa jina la njemba afariki dunia baada ya kujaribu kumuua nyoka aina ya blackmamba.

Mwandishi wetu Muongo Mtupu anaripoti.
 
Habari za muda wandugu,

Huyu mpumbavu koboko kuna mahali ameamua kuhamia na sasa anaishi kama kwake, kila asubuhi nakuta yupo juu ya mti halafu anafoka sana na hataki nipite.

Sasa usiku huu narejea nakuta kachelewa kurudi halafu kanifokea tena na nimempotezea tu akatulia nikapita.

SASA KESHO NAHAKIKISHA ANAKUFA NA PICHA NITAWEKA HAPA MAANA NAONAANAVUKA MIPAKA HUYU MSHENZI.

ana speed sana na anapanda kwenye mti kwa kurukia matawi kama kima, yani hapandi kwa kutumia shina la mti, yeye anajiinua anasimamia mkia halafu anatega juu huko. Ukisikia fuuuuuuuuu....UJUE MSHIKAJI YUPO ILA KESHO NAKULA NAYE SAHANI MOJA.
Tupe mrejesho mkuu

Au amekuwahi?
 
Wasikutisheeee...deal nae braza..

Binadamu tumepewa atashi mkubwa na uwezo wa kuvitawala viumbe vilivyomo katika mazingira yetu....

Huyo koboko mshamba tu ukiamua kucheza nae perpendicular...

Ziba mashimo yoote yaliyo karibu...
Deal nae muda ambao jua ni kali.
Vaa gunbut na nguo ya mikono mirefu...
Mwaga mafuta ya taa maeneo yke..

Tembeza kichapo heavy.. Utaleta mrejesho
Eti tembeza kichapo heavy

 
Habari za muda wandugu,

Huyu mpumbavu koboko kuna mahali ameamua kuhamia na sasa anaishi kama kwake, kila asubuhi nakuta yupo juu ya mti halafu anafoka sana na hataki nipite.

Sasa usiku huu narejea nakuta kachelewa kurudi halafu kanifokea tena na nimempotezea tu akatulia nikapita.

SASA KESHO NAHAKIKISHA ANAKUFA NA PICHA NITAWEKA HAPA MAANA NAONAANAVUKA MIPAKA HUYU MSHENZI.

ana speed sana na anapanda kwenye mti kwa kurukia matawi kama kima, yani hapandi kwa kutumia shina la mti, yeye anajiinua anasimamia mkia halafu anatega juu huko. Ukisikia fuuuuuuuuu....UJUE MSHIKAJI YUPO ILA KESHO NAKULA NAYE SAHANI MOJA.
Mkuu Njemba huna haja ya kumuua. Kwanza Black Mamba siyo "aggressive" na akikutana na binadamu kitu cha kwake kwanza ni kukimbia kwa spidi kali sana. PILI Black Mamba anauma "as a last resort" yaani kama yuko "cornered" kwanza anatoa "hissing sound" halafu anavimba mashavu kidogo chini ya kichwa chake ambacho kimefanana na "coffin" halafu anauma. Usipowahishwa hospitali unakufa katika muda wa nusu saa.
Uwepo wake kwako hapo kila siku nahisi kuna "chakula" anapata hapo kila siku. Iliwahi kunitokea kwetu kijijini. Nilikuwa nakutana na nyoka (siyo koboko) kila siku eneo hilo hilo kumbe nyuma ya nyumba kulikuwa na shamba la karanga ambalo panya wamelishambulia na wamezaliana kwa wingi.
 
Nilichojifunza so far code imekua ngumu mpaka uzi umeleta maana halisi ya nyoka koboko. Respect mtoa uzi
Watu wengi mnapenda ku-complicate mambo ili muonekana wajanja. Yeye kasema mara nyingi tu ni nyoka, na alivyoandika wala hutumii dakika moja kujuwa kuwa anamaanisha nyoka koboko! Niongezee pia kuwa koboko anakuwa over rated kwenye simulizi nyingi za kiafrika. Hii ni kwa sababu sumu yake inaua kwa haraka na mara nyingi wanaogongwa nae wanakuwa mbali na hospital hivyo kufariki. Lakini kama unaangalia kile kipindi cha ''mshika nyoka'' cha National Gegraphic Channel na kusikiliza maelezo yake na anavyowakamata utakubaliana na mimi kuwa koboko siyo hatari kama watu wanavyosimulia japo sumu yake inaua kwa haraka sana.
 
41 Reactions
Reply
Back
Top Bottom