RealTz77
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 738
- 40
Helo wanawake wanatafuta wanaouita usawa toka kwa wanaume kwa njia inayoboa sana, ebu nimekumbuka matangazo ya namna hii!!
tangazo la kazi ' we are an equal employer org but women are highly encouraged to apply'' , hii sio sahihi hata kidogo, usawa na wanawake wapambane, hatutaki upendeleo, km nafasi za kuteuliwa wabunge, ooh kuingia vyuo na maksi dhaifu kuliko wanaume, hii tunajenga taifa mfu, itakuja kutubite huko mbele ya safari, tutamlaumu nani?
tangazo la kazi ' we are an equal employer org but women are highly encouraged to apply'' , hii sio sahihi hata kidogo, usawa na wanawake wapambane, hatutaki upendeleo, km nafasi za kuteuliwa wabunge, ooh kuingia vyuo na maksi dhaifu kuliko wanaume, hii tunajenga taifa mfu, itakuja kutubite huko mbele ya safari, tutamlaumu nani?