Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
CCM ni chama cha jabu sana na kina upuuzi mkubwa sana.Tumewasikia viongozi wote wa CCM wakisema wazi nani wanamtaka,na nani hawamtaki.Tumesikia wazi wengine wakitukanana na vijana kupigana na wazee au kuwatukana na baadae kupewa pongezi.Sasa km ni hivyo CCM watapata nani asiye biased wa kusimamia uteuzi wao?Kwa nini sasa hivi wasiface reality tuu na kukubali kuwa game limekwisha.Nani atakubali nani asimamie au awepo ktk jopo?Kwanini wasipoteze muda ktk hili kuliko kumaliza nguvu zao kwa kujidanganya kushambulia upinzani?