Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,457
- 154,323
Kilio cha mapenzi;hivi ni akina nani unafikiri wanaongoza kuvuruga wengine...wanawake wanawavuruga wanaume, au wanaume ndio wanaowavuruga wanawake zaidi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapenzi hukamilishwa na watu wawili (Me na Ke)...hivyo si haba kusema tunavurugana...
watu8 siku hizi wala c lazima Me na Ke ndio kuwe na mapenzi hata Me na Me na kinyume chake Ke na Ke wanaweza kuwa na mapenzi pia. Enzi za Mwalimu sawa lakini siku hizi aah wala huhitaji jinsia tofauti jinsia moja pia mambo yanaenda. Kurudi kwa topic, nionavyo mimi ni bila kwa bila.
none of the above, unataka kusema maisha ndio yanaleta mvurugano?Mmmmmh!!!!
Kilio cha mapenzi;hivi ni akina nani unafikiri wanaongoza kuvuruga wengine...wanawake wanawavuruga wanaume, au wanaume ndio wanaowavuruga wanawake zaidi?
Unaguna nini?
Kwani wewe humvurugi Mr?
none of the above, unataka kusema maisha ndio yanaleta mvurugano?
Wanaume wa mji huu, bila usanii hamuendi.
Mamndenyi hivi ni kuvurugwa kupi kunazungumziwa hapa maana hii nayo tungo tata sasaaka nyie wenyewe ndo mnatuvuruga