KLH Exclusive: Augustine Lyatonga Mrema Anaunguruma..

Status
Not open for further replies.

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,474
39,987
Baadaye leo kwenye majira ya saa saba EST sawa na saa sita CST ambayo ni saa mbili za usiku EAT, nitapata nafasi ya kuzungumza na kiongozi mmojawapo wa ngazi za juu wa CCM. Kama hakutatokea matatizo yoyote ya kiufundi au vinginevyo, basi mahojiano hayo yatarushwa moja kwa moja kupitia bongoradio.com..
 
nakaribisha maswali ambayo kama ungepata kumuuliza kiongozi wa juu wa CCM ungemuuliza. Jina na CHeo nitawatajia "live" on the show.. tusije kumaliza bandwidth ..
 
kuna kitu kimeleak vibaya sana.. kigogo huyo kachomoa, anahisi "kuwa ambushed" hivyo anataka maswali before hand...
 
Ndiyo aina ya viongozi wetu, hawawezi kujibu maswali ya papo kwa papo. Au hofu ya ufisadi questions?
 
kuna kitu kimeleak vibaya sana.. kigogo huyo kachomoa, anahisi "kuwa ambushed" hivyo anataka maswali before hand...

....... 'kigogo huyo kachomoa....' (lite).

Kama ni kigogo huyo tuliyemdhania, ujumbe wa kutahadharishwa si ajabu ulitokea hapa JF kwa wenye nyeti nyingi.
 
sasa, nilitaka kutoa nafasi kwa CCM kureact.. lakini sasa hivi nitaungana na Bw. Augustine Mrema baada ya muda si mrefu kuzungumzia kile kilichojiri Jijini Dar leo.
 
Mzee Geeeeeeeque,

Heshima mbele mkuu, good job! Keep it up!

Always respect mkuu!

Mazeee FM ES karibu sana Mazeee, Dada Mwafrika wa Kike kama kawaida karibu sana naona unataka ku-bolingo hahaha bomba sana. Na wengine wote ndani ya jamboforums karibuni sana na tunashukuru sana kwa ushirikiano wenu wote.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom