Wakuu mi nilipata nafasi ya kumsikia DM(ATCL CEO) kwenye karedio kamoja cha FM asubuhi moja kuhusu hii issue hapa Tanzania. Alichosema yeye ni kama ifuatavyo:-
1. Kweli ndege hii ilikuwa ya Air Jamaica na ilikuwa inaruka kwenda USA.Kwahiyo ilipass flying standards za USA.
2. Umri wa hiyo ndege ni miaka 11. na kwa International Standard bado ni ndege mbichi. Maana hata huko marekani average age ya fleet zao ni 15-16 years
3. ATCL wamelease hiyo ndege kwa miaka 6. Hawajainunua.
4. Recommendation ya kulease hiyo ndege walipewa na Air Bus maana wanampango wa kununua ndege kwao.Na walifahamu ATCL wana shida na ndege kwa sasa.
5.Air bus ndo wanaoifanyia full check up(hapa alituamia technical term lakini nilivyoelewa ni kama dry dock ya meli yaani kila kitu kinafumuliwa nakuchekiwa)
6. Waataalam wa ATCL pamoja na wale wa Mamlaka ya Ndege nchini walikwenda na kuverify air worthness ya hiyo ndege na ilipasi kuruhusiwa kuruka nchini
7. Kulikuwa na matengenezo ambayo vendor alitakiwa ayafanye na mengine ATCL ilitaki kuyafanya(eg. Kubadilisha cushions, rangi ya ndege(maana ilikuwa na rangi za Air Jamaica), alama za kiswahili etc)
8. Ni kweli kampuni illiyoikodisha ATCl imekuwa registered Liberia kwa ajili ya tax benefits za nchi hiyo kwa investors.
Hayo ndo yalikuwa maelezo yake DM.Ila hakuzungumzia kuhusu Swala la Al Salvador na kama huko ndipo ipo service bay ya Airbus.
Inasikitisha lakini kweli.. hiyo siyo ile mpya ambayo kiongozi wetu mpendwa anajiandaa kuangusha saini yake. Hilo ni lile kolokolo lililokuwa pimped up kwenye "gereji" ya kampuni ya Aeroman huko El Salvador. ...
Ndege hiyo ambayo ilikuwa ni ya Air Jamaica kiumri ina chini ya miaka 10 tu lakini uharibifu wake ni kama mtu alikuwa anaikomoa. Mchunguzi wenu toka KLH News anaripoti kuwa licha ya gharama ya kuipaka rangi ATC imetumia hadi hivi sasa karibu shilingi bilioni moja kama malipo mbalimbali ya kuiwezesha ndege hiyo kuingizwa nchini.
Sasa hivi dege hilo linafanyiwa mpango wa kurushwa na kuletwa Tanzania...
To be continued.
PUndamilia, somo la hiyo namba ni kuelewa ndege ilikuwa mbovu kiasi gani. Kwa vile wao wanasema kuwa haikuwa na matatizo yoyote, ushahidi wote uliopo unaonesha kuwa matatizo ni mengi na ambayo ni ya kushangaza kwa ndege ya chini ya miaka 11.
Ila nimekuelewa unachosema.
PUndamilia, somo la hiyo namba ni kuelewa ndege ilikuwa mbovu kiasi gani. Kwa vile wao wanasema kuwa haikuwa na matatizo yoyote, ushahidi wote uliopo unaonesha kuwa matatizo ni mengi na ambayo ni ya kushangaza kwa ndege ya chini ya miaka 11.
Ila nimekuelewa unachosema.
Kijijini Leo Hii (KLH) matango pori yalianza toka zamani kumbeInasikitisha lakini kweli.. hiyo siyo ile mpya ambayo kiongozi wetu mpendwa anajiandaa kuangusha saini yake. Hilo ni lile kolokolo lililokuwa pimped up kwenye "gereji" ya kampuni ya Aeroman huko El Salvador. ...
Ndege hiyo ambayo ilikuwa ni ya Air Jamaica kiumri ina chini ya miaka 10 tu lakini uharibifu wake ni kama mtu alikuwa anaikomoa. Mchunguzi wenu toka KLH News anaripoti kuwa licha ya gharama ya kuipaka rangi ATC imetumia hadi hivi sasa karibu shilingi bilioni moja kama malipo mbalimbali ya kuiwezesha ndege hiyo kuingizwa nchini.
Sasa hivi dege hilo linafanyiwa mpango wa kurushwa na kuletwa Tanzania...
To be continued.