Yanga wanadai Morison ni mchezaji wao wamemtambulisha kwenye tamasha lao ns pia wanadai wataenda hadi cas cha ajabu hawajamlipia ada tff ya milioni 4 kama kanuni zinavyotaka.
Kama kweli mchezaji wao mbona wanashindwa kumlipia milioni 4 ndio wataweza kulipia gharama za cas ambazo ni milioni 40 kwa jaji mmoja hii inaonyesha mashabiki wa utopolo walivyo wajinga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.