Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Klabu ya Simba, Wekundu wa Msimbazi leo Julai 11, 2022 imethibitisha kukamilisha usajili wa kiungo nyota Nassoro Kapama kwa mkataba wa miaka miwili akitokea klabu ya Kagera Sugar.
Nyota huyu ambaye ni Kiraka ndani ya dimba, ana uwezo wa kucheza nafasi zaidi ya mbili, eneo la Kiungo cha mshambuliaji, Kiungo cha ulinzi, eneo la beki wa katikati huku akiwa amefunga mabao 2 na assist 3 katika michezo 25, akiwa na Klabu ya Kagera Sugar, hali iliyoivutia benchi la ufundi la Simba SC kumsajili.
"Kipaji kikubwa kutoka kwenye ardhi iliyobarikiwa ya Tanzania, kuja kuongeza nguvu kwenye kikosi chetu, Nassoro Kapama ni Mnyama". Imeeleza hivyo Taarifa ya Simba SC
Nyota huyu ambaye ni Kiraka ndani ya dimba, ana uwezo wa kucheza nafasi zaidi ya mbili, eneo la Kiungo cha mshambuliaji, Kiungo cha ulinzi, eneo la beki wa katikati huku akiwa amefunga mabao 2 na assist 3 katika michezo 25, akiwa na Klabu ya Kagera Sugar, hali iliyoivutia benchi la ufundi la Simba SC kumsajili.
"Kipaji kikubwa kutoka kwenye ardhi iliyobarikiwa ya Tanzania, kuja kuongeza nguvu kwenye kikosi chetu, Nassoro Kapama ni Mnyama". Imeeleza hivyo Taarifa ya Simba SC