Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Klabu ya Simba yenye maskani yake mitaa ya Msimbazi Jijini Dar es salaam, imeahirisha taarifa ambayo iliyokuwa itoke saa 2: 30 usiku kuhusu Mtendaji Mkuu wa Klabu hiyo.
"Taarifa ya Mtendaji Mkuu iliyokuwa itoke saa 2: 30 usiku imeshindikana kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wetu".
"Pole na samahani kwa usumbufu". Simba SC
"Taarifa ya Mtendaji Mkuu iliyokuwa itoke saa 2: 30 usiku imeshindikana kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wetu".
"Pole na samahani kwa usumbufu". Simba SC