Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Feb 3, 2009 42,299 33,082 Jan 1, 2014 #1 CHOO CHA KUSHUSHA HAJA KUBWA HICHO HAKUNA KUCHIMBA DAWA PORINI UNASHUSHA HAPO HAPO MZIGO.
sunna JF-Expert Member Jun 12, 2013 531 74 Jan 1, 2014 #3 Isije ikawa wachezaji azam ni punda wa madawa mkadhani juice na bidhaa za azam tafakari
Walad Amin JF-Expert Member Apr 28, 2013 287 87 Jan 1, 2014 #4 Mashallah Hiyo ndo timu bora usafiri bora
life is Short JF-Expert Member Apr 1, 2013 4,741 3,031 Jan 2, 2014 #7 Pongezi ; Hatua moja, mbili nzuri kwa maendeleo ya wanariadha na jamii!! Good luck
Mbugi JF-Expert Member Jan 7, 2011 1,488 257 Jan 2, 2014 #10 sunna said: Isije ikawa wachezaji azam ni punda wa madawa mkadhani juice na bidhaa za azam tafakari Click to expand... Hayo ni mawazo yako yanayotokana na umaskini
sunna said: Isije ikawa wachezaji azam ni punda wa madawa mkadhani juice na bidhaa za azam tafakari Click to expand... Hayo ni mawazo yako yanayotokana na umaskini
Donpela JF-Expert Member Jun 30, 2011 2,040 591 Jan 3, 2014 #11 mpira wa bongo bwana,, afu inafungwa sass.. hehe kweli ngombe wa maskinii
King’asti Platinum Member Nov 26, 2009 27,823 24,779 Jan 3, 2014 #12 Hivi wakipewa coaster mayai na coca cola, si wataipokea afu watakuwa wanabebea jezi na mipira?
Msingida JF-Expert Member Dec 1, 2010 9,723 10,801 Jan 3, 2014 #13 Yeah,wana kilakitu kinachopaswa kwa wachezaji. Wadhihirishe uwanjani Tanzania na nje ya mipaka yetu kwa kusakata kabumbu.
Yeah,wana kilakitu kinachopaswa kwa wachezaji. Wadhihirishe uwanjani Tanzania na nje ya mipaka yetu kwa kusakata kabumbu.