Dalton elijah
JF-Expert Member
- Jul 19, 2022
- 206
- 453
Chelsea wako mbioni kumsajili David Datro Fofana 🇨🇮, makubaliano yamefikiwa ya kiasi cha €10m na Molde ya kumsajili mshambuliaji huyo wa Ivory Coast aliyezaliwa 2002. Fabrizio Romano Reports
Makubariano binafsi bado yanajadiliwa na upande wa mchezaji.
Chezalive: Hii Project ya Todd Boehly & Graham Potter inaonekana ni ya muda mrefu ukiangaalia hata sajili zao wanazofanya unaona kabisa vijana ni kipau mbele, msije kushangaa Jorginho na Kante wasiongezwe mikataba.
Casadei (19)
Chukwuemeka (19)
Fofana (21)
Slonina (18)
Datro
Makubariano binafsi bado yanajadiliwa na upande wa mchezaji.
Chezalive: Hii Project ya Todd Boehly & Graham Potter inaonekana ni ya muda mrefu ukiangaalia hata sajili zao wanazofanya unaona kabisa vijana ni kipau mbele, msije kushangaa Jorginho na Kante wasiongezwe mikataba.
Casadei (19)
Chukwuemeka (19)
Fofana (21)
Slonina (18)
Datro