haa hawa ndio wanaume, sio wale mabosi wangu pale london kwa washika mitutu.
Mabosi wako london hawashindwi kumuondoa asenane. Swali la kujiuliza kwanini wamuondoe ikiwa lengo lao linatimia? Kocha anafukuzwa akishindwa kufikia malengo.
Asenane haijawahi kushindania ubingwa tangu wamalize invicible season, wao wamekuwa washirikina tu. Muhimu wapate UCL spot tu