OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,095
- 103,347
FULL-TIME: Simba SC 3 - 0 JS Saoura
UPDATES:
Kosi la wauaji
====
Dakika ya 37: Nahodha wa Simba John Bocco yuko nje baada ya kupata majeraha, nafasi yake ikichukuliwa na Meddie Kagere.
Dakika ya 45+3: Goooooooooooooaaaaaaaaaaal
Emmanuel Okwi anapokea pasi safi kutoka kwa Clatous Chama, anatishia anafinya kisha apiga shuti kwa mguu wa kushoto na kuiweka Simba mbele
HALF-TIME
Dakika ya 52: Goooooooooooooooooooaaaaaaaaaallll
Meddie Kagere anaiandikia Simba goli la pili akipokea pasi safi kutoka kwa Emmanuel Okwi
Dakika ya 67: Goooooooooooooooooaaaaaaaaal
Ni Meddie Kagere kwa mara nyingine tena akipokea tena pasi kutoka kwa Emmanuel Okwi. Walinzi walidhani Kagere ameotea, akatoka akanyanyua mpira kipa akishangaa tu
Dakika ya 87: Emmanuel Okwi anatoka anaingia Shiza Kichuya
FULL-TIME